Umeshawahi kukosea meseji ya kwenda kwa mchepuko ikaenda kwa mpenzi wako/mke wako? Ulifanyaje?

Umeshawahi kukosea meseji ya kwenda kwa mchepuko ikaenda kwa mpenzi wako/mke wako? Ulifanyaje?

SEASON 5

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
481
Reaction score
1,008
Umeshawahi kujikuta unatamani kuvunja simu au kupotea duniani kwa dk kadhaa ukirudi duniani ukute ilikua n ndoto si kweli? basi mimi ilishawahi nitokea siku 1 nilichepuka nikadakwa na mpenzi wangu tukaongea yakaisha nikamuomba msamaha akaelewa.

Baada ya siku 1 tu ugomvi hata haujasahaulika nikajichanganya nikakosea msg tena round hii niliandika gazeti la kumpa sifa hyo mchepuko wangu,namimi bila kuangalia namtumia nani Msg nikai send kwa Mpenzi wangu,Tobaaaaaa nakuja kushtuka n delivery report inarudi "your msg was sent to honey" hiiiiiiiiii, bana weeeeee

Sikua na option nyepesi ilibidi ni copy majina yaliykua kwenye laini yangu nikayacopy kwenye simu kisha laini nikaitoa nikaificha,na simu nikampa rafiki angu aniwekee kisha nikarudi home kimyaaaa,nikasema hapa sina lakufanya zaidi ya kuikana msg na kusema nimeibiwa simu tangu asubuhi kazini.

Kweli uongo wangu kama vile ulileta ka ukweli flani nikaaminika na ndio ilikua mwisho wangu wakuchepuka na uongo ktk mapenzi,hebu tuambizane wewe ulifanyaje ulipokosea msg?
 
Ajali kazini, acheni kuchepuka bakini njia kuu....

Ukiona hivyo ujue unakumbushwa tu kuwa hilo jambo si zuri
 
Hahah! Mimi ilishanitokea nkamtuma Maza badala ya kidemu changu sasa ya juzi hii hapa.

Ipo tofauti kidogo!

Nilikuwa natoka ofisini naenda home kupumzika na wakati huo kuna bro mmoja hivi yani ni mshikaji wangu balaa ila tatizo lake kubwa anaomba sana pesa halafu wakati huo huo ana kazi nzuri tu.

Sasa wakati nataka kuondoka nkamuita dogo aje akae halafu ntarudi na mda huo huyo bro ameniomba pesa sasa mimi nkamkatalia nikamwambia kwa leo sina pesa aisee, nyuma nilikuwa nilishamzoesha kuwa akija amwambie tu dogo halafu achukue arejeshe na kweli huwa anarejesha.

Sasa wakati naondoka nkajua tu hapa huyu bro ataenda kwa dogo amuombe pesa na dogo atampa nilichokifanya nkaandika meseji chap chap nimtumie dogo kuwa "YULE BRO NIMEMKAZIA LEO KUHUSU PESA KWA HIYO AKIJA HAPO MWAMBIE KAKA KASEMA HANA PESA" na mda huo nipo namalizia kumkazia kwa meseji yule bro aisee ile meseji acha iende kwa yule kwa sababu ya harakaharaka zangu!

Kwa wakati huo me sikujua kama nimefanya vile maana nilikuwa na haraka nkashangaa dogo ananipigia simu bro ile meseji umemtumia nani em angalia [emoji23][emoji23] aisee asikwambie mtu nkakuta nimemtumia yule bro, kumbe yule bro kaenda kwa na akamuonesha zile ile meseji yangu[emoji23][emoji23] halafu bro akaanza nashukuru mdogo wangu sasa ili nsionekane snitch ikabidi nimchane tu kuwa bro pesa sina
 
Nmekosea muda mfupi ulopita.

Ipo hivi, kuna Manzi huwa nampelekea moto, sasa saiz yupo kwa mfungo, nikawa nambembeleza anipe Mzigo jion.

Wakati huohuo nachat na Manzi mwengine yeye ndo kwanza nmepata namba yake majuzi ndio nakomaa naye .

Sasa yule Aliye kwenye mfungo nikawa natakiwa nmtumie meseji hii

"Banaa kwan ukinipa **** mara moja hutaiona pepo?? Mie nmemis ****yako sana '

Sasa hiii meseji. Imeenda kwa huyu manzi mwingine.

Ajanitafuta, namm nmekausha tu

Sasa nifanyaje hapa??.
 
Nmekosea muda mfupi ulopita.

Ipo hivi, kuna Manzi huwa nampelekea moto, sasa saiz yupo kwa mfungo, nikawa nambembeleza anipe Mzigo jion.


Wakati huohuo nachat na Manzi mwengine yeye ndo kwanza nmepata namba yake majuzi ndio nakomaa naye .


Sasa yule Aliye kwenye mfungo nikawa natakiwa nmtumie meseji hii

"Banaa kwan ukinipa **** mara moja hutaiona pepo?? Mie nmemis ****yako sana '


Sasa hiii meseji. Imeenda kwa huyu manzi mwingine.



Ajanitafuta, namm nmekausha tu

Sasa nifanyaje hapa??.
Kausha hivyo hivyo akikutafuta mwambie huelewi kitu itakua wame hack simu yako
 
Nmekosea muda mfupi ulopita.

Ipo hivi, kuna Manzi huwa nampelekea moto, sasa saiz yupo kwa mfungo, nikawa nambembeleza anipe Mzigo jion.


Wakati huohuo nachat na Manzi mwengine yeye ndo kwanza nmepata namba yake majuzi ndio nakomaa naye .


Sasa yule Aliye kwenye mfungo nikawa natakiwa nmtumie meseji hii

"Banaa kwan ukinipa **** mara moja hutaiona pepo?? Mie nmemis ****yako sana '


Sasa hiii meseji. Imeenda kwa huyu manzi mwingine.



Ajanitafuta, namm nmekausha tu

Sasa nifanyaje hapa??.
[emoji2960] muache Mtoto wa watu aione Pepo
 
Nmekosea muda mfupi ulopita.

Ipo hivi, kuna Manzi huwa nampelekea moto, sasa saiz yupo kwa mfungo, nikawa nambembeleza anipe Mzigo jion.


Wakati huohuo nachat na Manzi mwengine yeye ndo kwanza nmepata namba yake majuzi ndio nakomaa naye .


Sasa yule Aliye kwenye mfungo nikawa natakiwa nmtumie meseji hii

"Banaa kwan ukinipa **** mara moja hutaiona pepo?? Mie nmemis ****yako sana '


Sasa hiii meseji. Imeenda kwa huyu manzi mwingine.



Ajanitafuta, namm nmekausha tu

Sasa nifanyaje hapa??.
Oya The jackal. ,muache mtoto wa watu afunge, tafuta ambao hawajafunga unyandue,uyu mpe likizo kwanza.

Kila kitu kina sababu zake , mtu amefunga ,wewe unamtumia sms kali yenye maneno ya kumtia nyege!!

Ndo maana umekosea[emoji23][emoji23]
 
Nilimtumia mwanangu side wa Manzese

" Oyaa niko njiani na lile demu la Buguruni mapipa nakuja kulitomba wekeni mazingira safi hapo geto nikajisahau nikamtumia yeye

Na tulikuwa tuna tembea wote njiani
Ikawaje?
 
😂😂😂😂Sio kama uongo wako ulikuokoa. Huyo mpenzi aliona hakuna sababu ya kubishana na wewe tena. Na yeye alimpelekea papuchi mchepuko wake, akawa mshindi yeye. Wewe umetuma maandishi kimakosa yeye kapeleka kitolea haja kwa makusudi.
😂😂😂😂
 
Nilimtumia mwanangu side wa Manzese

" Oyaa niko njiani na lile demu la Buguruni mapipa nakuja kulitomba wekeni mazingira safi hapo geto nikajisahau nikamtumia yeye

Na tulikuwa tuna tembea wote njiani
😂😂😂😂😂dah, Nimecheka kifala
 
Hahah! Mimi ilishanitokea nkamtuma Maza badala ya kidemu changu sasa ya juzi hii hapa.

Ipo tofauti kidogo!

Nilikuwa natoka ofisini naenda home kupumzika na wakati huo kuna bro mmoja hivi yani ni mshikaji wangu balaa ila tatizo lake kubwa anaomba sana pesa halafu wakati huo huo ana kazi nzuri tu.

Sasa wakati nataka kuondoka nkamuita dogo aje akae halafu ntarudi na mda huo huyo bro ameniomba pesa sasa mimi nkamkatalia nikamwambia kwa leo sina pesa aisee, nyuma nilikuwa nilishamzoesha kuwa akija amwambie tu dogo halafu achukue arejeshe na kweli huwa anarejesha.

Sasa wakati naondoka nkajua tu hapa huyu bro ataenda kwa dogo amuombe pesa na dogo atampa nilichokifanya nkaandika meseji chap chap nimtumie dogo kuwa "YULE BRO NIMEMKAZIA LEO KUHUSU PESA KWA HIYO AKIJA HAPO MWAMBIE KAKA KASEMA HANA PESA" na mda huo nipo namalizia kumkazia kwa meseji yule bro aisee ile meseji acha iende kwa yule kwa sababu ya harakaharaka zangu!

Kwa wakati huo me sikujua kama nimefanya vile maana nilikuwa na haraka nkashangaa dogo ananipigia simu bro ile meseji umemtumia nani em angalia [emoji23][emoji23] aisee asikwambie mtu nkakuta nimemtumia yule bro, kumbe yule bro kaenda kwa na akamuonesha zile ile meseji yangu[emoji23][emoji23] halafu bro akaanza nashukuru mdogo wangu sasa ili nsionekane snitch ikabidi nimchane tu kuwa bro pesa sina

[emoji16][emoji16][emoji16] sema ulifanya fresh kumchana
 
Hii mambo ya message kwenda pasipotakiwa huwa inatokea mara nyingi sana halafu ikiwa hivyo mtu unakosa amani kweli kweli.
 
Nilimtumia mwanangu side wa Manzese

" Oyaa niko njiani na lile demu la Buguruni mapipa nakuja kulitomba wekeni mazingira safi hapo geto nikajisahau nikamtumia yeye

Na tulikuwa tuna tembea wote njiani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom