Umeshawahi kukutana na picha hizi ;Umefikiri nini baada ya kuziona !? The true size of Africa

Umeshawahi kukutana na picha hizi ;Umefikiri nini baada ya kuziona !? The true size of Africa

Cesar Saint

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2016
Posts
423
Reaction score
726
IMG_1608.JPG
IMG_1609.JPG
IMG_1610.JPG
IMG_1611.JPG
IMG_1612.JPG
IMG_1613.JPG
IMG_1614.JPG
IMG_1615.JPG
IMG_1616.JPG
IMG_1617.JPG
IMG_1618.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon mzee wakati utaongea [emoji1488]


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia hizi picture nikagundua sababu ambayo itatufanya tusiendelee ni kutokuwa na idadi ya watu wa kutosha, chek nchi kama TZ watu ni chini ya milioni 50. China ni more than 1 bilioni. Tutakapokuwa wengi tutafanya mengi, no wonder uzazi wa mpango unapigiwa debe sana africa

Miji inaendelea kutokana na idadi ya watu, wafanye kazi na kuzalisha na kujenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bara la giza

Maendeleo hayana chama
 
Afrika ndo sehemu pekee inayo support life, hakuna joto wala baridi, kama ni joto linavumilika kama ni baridi inavumilika hakuna anayekufa kwa hali ya hewa, kama ulaya na asia huko.
Afrika tutunze mazingira ili binadamu wote tuje kuishi Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MBONA WAMEZIKATA KATA PUA? WALIKUWA HAWANA PUA AU
 
Back
Top Bottom