chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.
Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.
Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.
Kwa taarifa yako wachaga walio na rangi za meno ni wachache sana na ni wale wachafu au waliokulia mazingira yenye maji mabaya nje ya kilimanjaro.Maji ya Kilimanjaro ni masafi sana na mzuri kulinganisha na vuanzo vingi nchini.
Watu wengi walio na meno yenye rangi za meno wapo kuanzia Singida hadi Arusha.Na huko wachaga ni walowezi na si wengi.ambao maji yao yana flourides na madini mengine makali.
Kwa hiyo miscalculation zako zilikuponza.Walikuona mwongo kama CV yako ilisema tofauti.Ungechakua kabila ingine isiyojua hela zaidi ya ngono na msosi ili waamini kuwa watakushikilia muda mrefu kwa hela ndogo.
hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?
Get your facts right before you post arawa
kaka mm naomba hizo link za interview na namna ya kuijbu
mai kuifwenda?
ni wewe hujawa makini tuu.hujasoma btn lines.hujaona suala la uchafu katik posting?hao wanakunywa mbege na kubugia ugali hadi late night halafu wanatoboa hivyo hivyo, na asubuhi wanaweza shtua mswaki wa kubeep.Na ndio maana huwa wanchekana ila sehemu ka ar huwa hawachekani kwa vile tayari mazingira yanawaweka hivyo by default.hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?
Get your facts right before you post arawa
kufokisha
Ooh! Pole, mie mwenzako jana nimeambiwa your not handsome so will you use some cosmetics? Ili nishine kama wao! Nkawaambia ndio, nawaskilizia wakinipigia simu sipokei na siendi tena! Hahaha, bora niendelee kulima mboga zangu za majani tu shamba huku
ilikua kaz gan?au benk maana kama co hb ndo wanaponda,this is very stpd
hivi machame na kibosho, uru na old moshi ni nje ya kilimanjaro?
Get your facts right before you post arawa