Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Walaghai wa Mitandao ni watu wanaofanya uhalifu wa mtandaoni kwa kuwasiliana na mlengwa kupitia barua pepe, simu, au ujumbe wa maandishi (SMS), wakijifanya wanatoka taasisi halali.
Lengo lao ni kuwarubuni watu kutoa taarifa nyeti kama vile taarifa binafsi, maelezo ya benki na kadi za mkopo, na nywila.
Taarifa hizo hutumika kuhamisha pesa au kufanya utapeli mtandaoni
Fahamu Jinsi ya Kutambua Walaghai hao wa Mitandao:
1. Hutumia ahadi kubwa za pesa au zawadi za thamani kubwa kuvutia watu.
2. Huwa wanasisitiza uchukue hatua haraka, kama vile kufanya malipo haraka au kukutaarifu kuwa nafasi ni za muda mfupi tu.
3. Usifungue kiambatanisho kutoka kwenye barua pepe ya mtu usiyemfahamu.
4. Usifungue ujumbe wala kubonyeza "link" kutoka kwa mtu usiyemfahamu.
NB: Epuka Kufuata maelekezo ya Walaghai wa Mitandao.
Lengo lao ni kuwarubuni watu kutoa taarifa nyeti kama vile taarifa binafsi, maelezo ya benki na kadi za mkopo, na nywila.
Taarifa hizo hutumika kuhamisha pesa au kufanya utapeli mtandaoni
Fahamu Jinsi ya Kutambua Walaghai hao wa Mitandao:
1. Hutumia ahadi kubwa za pesa au zawadi za thamani kubwa kuvutia watu.
2. Huwa wanasisitiza uchukue hatua haraka, kama vile kufanya malipo haraka au kukutaarifu kuwa nafasi ni za muda mfupi tu.
3. Usifungue kiambatanisho kutoka kwenye barua pepe ya mtu usiyemfahamu.
4. Usifungue ujumbe wala kubonyeza "link" kutoka kwa mtu usiyemfahamu.
NB: Epuka Kufuata maelekezo ya Walaghai wa Mitandao.