Umeshawahi kupigwa shot ya umeme? Ulijisikiaje?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Naomba mshee experience yenu mliowahi kupigwa shoti na umeme na mlijisikiaje?
Mimi nakumbuka siku hiyo nilikuwa na kideti cha kukutana na mtoto town... Sasa zile harakati za kupendeza si nikachukua pasi ninyoshe nguo! Kumbe ule waya wa pasi umechunika, basi nilipigwa na shoti moja matata... Hadi ikabidi nilale kwa kujisikia kizungu zungu na kideti kikafia hapo...
 
Hali ya kupigwa na shoti ya umeme haiwezi kusimulika kwa maneno ....yan ni noma unahisi kama organ zote za ndani zimeungana[emoji1][emoji1][emoji1] pumzi inatoka kama mtu anafungua mtungi wa gesi...yan hali ile haielezeki kama unataka kujua nenda kashike nyaya ya umeme inayopitisha
 
Niliwahi kupigwa short kwenye lips za mdomo aisee hii short huwa kali sana kwa sababu midomo ni milaini ni tofauti na kugusa kwa mkono hasa huu umeme wa majumbani yani kichwa kilitikisika tikisika niliona kama radi kwenye macho yangu nikaanguka dakika fulani hivi sijielewi.
 
kuna kichaa mmoja hapa kitaani kwetu alipigwa shot na umeme hadi akili ikamurudi. Navyoandika saa hizi ni mzima na timamu kabsa
 
kuna kichaa mmoja hapa kitaani kwetu alipigwa shot na umeme hadi akili ikamurudi. Navyoandika saa hizi ni mzima na timamu kabsa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hat sijui kwang ilikuaje nshawahi kupigwa na shoti ila haikuwa kubwa saan
 
Shoti ya umeme ni nzur sana , yani mwili unasisimka paka raha , especialy ukipigwa kwenye ulimi , jicho , yani me huwa naumiss , naendaga juu ya transfoma afu nalipiga busu , wow , i love shot ya umeme
 
Shoti ya umeme ni nzur sana , yani mwili unasisimka paka raha , especialy ukipigwa kwenye ulimi , jicho , yani me huwa naumiss , naendaga juu ya transfoma afu nalipiga busu , wow , i love shot ya umeme
 
Ukitaka ubaki na shoti basi uumwe na ng'e were siku saba kila wkt lile eneo ulioumwa unakuwa na shoti tuu.
 
kuna kichaa mmoja hapa kitaani kwetu alipigwa shot na umeme hadi akili ikamurudi. Navyoandika saa hizi ni mzima na timamu kabsa
Kumbe umeme ni tiba ya wagonjwa wa akili?nashauri Mirembe kuwekwe visababisha shoti vingivingi ili watu wapone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…