Umeshawahi kushikwa na tumbo la mwendo kasi

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
347
Reaction score
587
Aisee hili tumbo huwa ni shida na cjui kwanini huwa linahisiana na kijasho chembamba nakumbuka kuna siki nlikuwa kwenye mizunguko yangu likanishika nikiwa mijin alafu sehemu niliyokuepo hakukua na choo cha kulipia nilipata shida nakimbia huku jasho jembamba linanitoka nikaingia nyumba moja nikakuta wadada wanapiga story sikumbuki hata kama niliwasalimia mojamoja bila kupoteza mda nkiuliza chooni ni wap ile kuingia tu nikauachia mzigo huko nje nasikia wale wadada wananicheka kinyama sitakaa ni sahau hii siku je wewe ulishawahi shikwa na hili tumbo na ulikuwa wap
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa safarini Dar......mwanza. ...nilihenyaaaa
 
Kuna mshikaji wangu alikuwa anatoka Arusha kwenda dar ilibidi ashukie Lugoba akijidai amefika,hapo ni baada ya kuomba udhuru zaidi ya mara 3
 
Mmhh! Mwana usiombe koki ilegee ukiwa safarini tena usafiri wenyewe uwe wa public transport. Mweeee!
Nkibanwa na haja gari litasimishwa tu watake wasitake wakizingua natishia kuachia mzigo hapohapo kwa dereva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…