Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kuna demu nilimpiga chini......
akanywa sumu na kufa.......
Hivi inakuwaje hadi mtu anafikia hatua ya kumuua mama yake au/na hata baba yake?
Inakuwaje mtu anafikia kumuua dada, kaka, binamu, shangazi, au mjomba?
Ushawahi kukutana na mtu anayedanganya kuwa mtu wake amekufa au kafa?
Mtu unatega shule halafu unatoa kisingizio cha fulani kwenye familia yenu kafa.
Au unasema mama yako mzazi ni marehemu ilhali ni mzima.
Watu wa hivi tuwaweke kwenye kundi gani?
NN whats the big problem hapa? Imekatazwa wapi specifically kusema flani kafa kumbe hajafa? (Zaidi ya kua ni vibaya kudanganya) si uongo tu kama uongo mwingine?
Au ndio mnaimani kua maneno huuumba?
It's an exaggerated notion! Haina basis yoyote zaidi ya main Principle ya kutokudanganya, otherwise ni primitive taboo!!
Mind you I will never say any member of my close family is dead!! (Contradictory sio!) Just for the fact that by chance it might happen and the guilt might kill me even though I know I had no part at all in the demise!