MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tuombe kwa Mungu wote tuendelee kupatiwa uzima na afya
Miaka ishirini ijayo, ukisoma nyuzi zako na comments zako zitakutafakarisha nini?
Kwa wale tunaogonga nondo baada ya nondo, tutaendelea kujipongeza kwa beer baridi sana na kupiga kifua kwamba tumehuskika kuwatoa mamilioni ya watu ujinga
Kwa wale wana harakati wa haki na amani, watafarijika kuona haki na amani zimetamalaki
KWA MACHAWA nadhani watajinyonga kwa aibu
TUENDELEE KUELIMISHA NA KUSIMAMIA UKWELI NA HAKI
Miaka ishirini ijayo, ukisoma nyuzi zako na comments zako zitakutafakarisha nini?
Kwa wale tunaogonga nondo baada ya nondo, tutaendelea kujipongeza kwa beer baridi sana na kupiga kifua kwamba tumehuskika kuwatoa mamilioni ya watu ujinga
Kwa wale wana harakati wa haki na amani, watafarijika kuona haki na amani zimetamalaki
KWA MACHAWA nadhani watajinyonga kwa aibu
TUENDELEE KUELIMISHA NA KUSIMAMIA UKWELI NA HAKI