Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

Kaka we jua nimekutukana bonge la TUSI kimoyo moyo aiseee!!!
Yani umenitia hasira ungekuwa karibu ningekuwasha bonge la kelbu πŸ˜–πŸ˜–
Ilitakiwa hata kulala usingelala huo usiku hapo xhddgxnkgdjhckcvhjbbjkj mxiewwwww!!
Hahaha nimekuelewa kaka
 
VITU AMBAVYO KWA SASA TUKIKUKUTA WEWE MWANAUME MWENZANGU.
-TUNA TUMIA GRISI YA INJINI YA MELI MAANA KUISHA NI NGUMU.
-MATEJA WATATU WENYE UPWIRU MIEZI SITA.
-KAMERA MAN TOKA USA kwenye site za porno.
-FENI
UKITOKA HAPO JESHI LA POLISI LI MSHUKURU MAMA KWA KUKUOKOA MAANA ULITAKIWA UFANYIWE SIKU 7
 
Hivi kweli hili nalo linahitaji ushauri toka kwa watu wengine? Wewe Jambo Kubwa unaona hili ni jambo dogo?
Kwa hili lilokukuta hata ungemuuliza Baba Mkwe wako angekwambia piga chini huyo Mwanae. Huyo dada hakupendi na wala hakutaki ndo maana kaamua kudinywa wakati wewe mwenyewe upo nae. Je, vipi awapo huko Mkoani?
TAFAKARI CHUKUA HATUA ACHA HURUMA ZA KIJINGA UTAKWENDA NA NGOMA. Hata Biblia inasema haipendi kuona wanandoa wanaachana ila kwa habari ya Zinaa imeruhusiwa ndoa kuvunjika.
 
Yaani mtu ametombewa kwenye chumba ulichokilipia, halafu umemsamehe! Jiandae kumsamehe tena, huwa hawaachi.
 
Kaka we jua nimekutukana bonge la TUSI kimoyo moyo aiseee!!!
Yani umenitia hasira ungekuwa karibu ningekuwasha bonge la kelbu πŸ˜–πŸ˜–
Ilitakiwa hata kulala usingelala huo usiku hapo xhddgxnkgdjhckcvhjbbjkj mxiewwwww!!
Kwahiyo hautaki mwanamke mwenzio asamehewe ?!
 
Kwahiyo hautaki mwanamke mwenzio asamehewe ?!
Sio mwanamke mwenzangu hata angekuwa mwanaume pia hafai kusamehewa!!
Ww kwa hali ya kawaida unaona iko sawa?? Vipi angesababisha mauaji?!!
Ilitakiwa hao wanaume wangefanya maamuzi magumu wangemla tena wote kwa pamoja iwe fundisho, unaanzaje kuingiza mwanaume chumba mlichokodi na mpz wako kwaajili ya mapumziko??
 

Kufumania nishawai, na sikumuacha maan siwez acha mwanaume kisa nimemfumania na dem.
 
Yaani apigwe mtungo ?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
pole sana mkuu, umeleta mkasa humu ili upate ushauri humu utapata maoni tofauti tofauti kulingana na watu kua tofauti kimitazamo, ushauri wangu ni wewe kuusikiliza moyo wako coz watu kwenye ku move on tumetofautiana pia, kwasababu kwa maelezo yako nikwamba unampenda kwa dhati na ulimuamini mwanamke ambae ni kati ya wanawake wasio na uaminifu kwa wenza wao na nihatari sana kwanzia kwenye afya ya akili mpaka mwili nk, naweza nikaandika mengi nisiyamalize, kifupi hatakama ulimpenda dp huyo siyo sahihi tena kwako tafuta njia yoyote yakumpotezea hatakama ni taratibu, acha kumuhudumia mchukulie malaya kama malaya wengine. na akija kujiliza omba gem piga ukimaliza pita hivi na tuliza akili yako huku ukitafuta pisi nyingine kimya kimya
 
Wenzio tukikuta tu msg kaitwa babe tunaacha kabisa hatugeuki nyuma, we hadi chumba ulicholipia katumia kuliwa utamu bado unataka ushauri, mwanamke huyo ukiendelea nae ni kama umempa risiti ya EFD kwa alichokifanya. Pia mapenzi hayashauriki pengine huyo ndio kakuone ahuruma umuache ubaki singo.
Binafsi nisingemuacha ila asingelamba hata mia yangu kuanzia hapo zaidi alete tu utamu. Nashangaa hadi ukaenda shopping una moyo.
 
Naamini mapenzi yana nguvu sana, kuliko hata nguvu yenyewe!
Unaweza ukabaini hata hao wanaokushauri umuache ukiwakuta kwenye anga zao ni mazobaa tu kama ambavyo wanakusema wao.
Kwa nguvu hiyo jambo la kumuacha sio rahisi kama linavyotamkwa hapa, ni gumu, tena kinoma!
Ukweli usiopingika, huyo dada hakupendi, hakujali wala hakuthamini.
Kwahiyo fanya maamuzi mawili kati ya
1. Kuupenda moyo wako(kuuridhisha kwa kile unachokihitaji)- kubaki nae huku unaumia akili mwili nk..... au
2. Kuupenda mwili wako (afya ya mwili na akili)- kuachana nae huku moyo unaumia
Pole Mkuu ila inabidi uongeze moto kwa uzi wako unaonekana umezubaa sana
 
Ndio 🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Noma sana...ili siku nyingine asirudie. Ila ukiangalia ni Kweli, fimbo moja haija kutosha ukata Nyingine kwa siri, sasa tunakupa zote 2 kwa wakati mmoja mpaka utosheke mwenyewe.
Aaaaaah angepigwa mtungo tuu..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aache tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…