don88
Member
- Jan 22, 2013
- 53
- 84
HATIMAYE kwa mara ya kwanza Harmonize ameamua kufunguka kuhusu pacha tajwa ambaye ametokea kujizolea jina.
Harmonize amesema haya:
“Mara ya kwanza nilipomsikia, nilijiskia vibaya sana, nilikutana nae maisha klabu akawa analia iliniuma sana. Nachoweza kusema, ajitahidi na mimi namuombea aendeleea kukomaa atafanikiwa ili siku moja aisaidie familia yake” alisema Harmonize.
Harmonize amesema haya:
“Mara ya kwanza nilipomsikia, nilijiskia vibaya sana, nilikutana nae maisha klabu akawa analia iliniuma sana. Nachoweza kusema, ajitahidi na mimi namuombea aendeleea kukomaa atafanikiwa ili siku moja aisaidie familia yake” alisema Harmonize.