QUEEN SHAKIRA
Member
- Oct 22, 2019
- 38
- 69
Nimeirudia hiyo clip nikabaki nacheka
Kaanze 3400, 5400 mwisho 8400 USD
Afu anasema huwa anakosa saa zingine mtoto wake anamwambia alipe shule za kawaida
Hilo ameliweka wazi akiwa katika kituo kimoja cha TV.
View attachment 1241725View attachment 1241726View attachment 1241727
Krish anasoma feza
so ni lazima ada iwe hivo
Labda kujipaisha.Feza haina hiyo Ada A level yenyewe oale Sala sala ni Dollar 5000 na kitu
Nursery haiwezi kuwa hiyo 8400
Mkuu huna picha zake za chura? Maana nasikia hana hiyana kutoa
Wanasema Cleopatra alikua anaogea maziwa ili kutengeneza ngozi nzuriSidhani kama ni kuogea maziwa literary.
Wasichana wa kinyarwanda, wale wanaofanya wanyarwanda waonekane ni tofauti, wawapo wadogo huwa wanapakwa mafuta ya maziwa mwili mzima (samli). Na hata wakikua hawa mara moja moja sana huendelea kujipaka, hicho ndiyo kinawafanya waonekane vile walivyo. Hata wamasai pia hujipaka hayo.Sidhani kama ni kuogea maziwa literary.
Last Minute Lounge ndo inamsomesha dogoMi nimeshangaa tu kuwa mtoto wake ada ni 8400USD kwa mwaka
Duuh!! Ndo mana safari za Dubai hazikauki kumbe anachapisha tuDah Picha zake za Chura ni adimu. Nasikia anaweza kuangusha tifu ndani kama hujmla Chura