Umesoma vitabu gani mwaka 2019?

Umesoma vitabu gani mwaka 2019?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
salama wakuu, kwanza naomba kupropose kuwa tarehe 9 desemba kila mwaka uwe mwanzo wa kujadili usomaji wetu wa vitabu wa mwaka husika huku tukisherekea uhuru wa kifikra utokanao na usomaji na pia sababu tunahitaji muda wa kujadili kabla mwaka hujaisha. Kama mods wataona inafaa wawe wanatuwekea uzi kila 12/9
1.Born a crime by Trevor Noah. Hiki kitabu kinazungumzia maisha na makuzi ya comedian Trevor Noah wakati wa ubaguzi wa rangi huko sauzi. Kilitajwa sana mwaka jana, nikaona nikisome maana namkubali sana Noah, ni kitabu poa sana.
1575881028223.png

2.Asia's Cauldron: The south China sea and the end of a stable pacific. Hiki kinaelezea mgogoro wa bahari ya kusini China, nchi zinazohusika na nafasi ya Marekani kwenye huo mgogoro. Ni kizuri kama upo interested na hiyo ishu.

1575880686639.png

3.Out of the Gobi: my story of China and America bya Weijian Shan Kinazungumzia maisha ya huyu bwana kwenye China ya Mao hadi kuwa Prof US. Kizuri sana, Na kinamatukio mengi ya kusisimua, kushangaza, kuhuzunisha na kuchekesha.

1575881321564.png

4.China's Disruptors. Hiki kinazungumzia jinsi makampuni binafsi, hasa ya tech yanavyoibadilisha China. Pia kinaeleza kwa kirefu mazingira ya biashara China. Nilikipenda.
1575881776490.png

5.AI superpowers:China, Silicon valley and the New world order.Mwandishi anaeleza historia na applications za artificial intelligence, pia anaeleza jinsi China ilivyo kwenye nafasi nzuri ya kuwa AI superpower. Nimejifunza Mengi kuhusu AI.
1575881398741.png

6.The Yom Kippur war: The epic encounter that tranformed the middle east. Vita ya 1973 kati ya Israel dhidi ya Misri na Syria.
1575882048888.png

7.Sapiens: A brief history of humankind by Yuval Noah, niliona kimetajwa mwaka jana, ni kitabu kizuri sana na kimejadiliwa sana humu.

1575882278077.png

8.The Alchemist: bonge la kakitabu, nilikuwa nakapita, ila baada ya kutajwa sana mwaka jana ikabidi nikasome.
1575882126959.png

9.The great mortality. Hiki kinazungumzia jinsi bubonic plague(Tauni) ya 1340-1400 ilivyoua watu huko Ulaya na matokeo yake kwa jamii.
1575881966772.png

10.Baada ya kusoma hicho hapo nikasema nijifunze na Spanish flu, nikaanza kusoma,The great influenza. Hiki sijamaliza na sijui kwanini, maana ni kitabu kizuri sana, kinazungumzia mabadiliko ya medical education huko US, Mabadiliko(mutation) ya virusi vya mafua, mapambano dhidi ya milipuko ya mafua. Natumaini ntakimaliza mwakani.
1575882770638.png

11.The last black unicorn by Tiffany Haddish, Ni memoir ya huyu comedian, sehemu zingine kipo deep.
1575883008592.png

12.Is everyone hanging out without me by Mindy Kaling. Namkubali sana huyu comedian, nikaona nimsome nicheke, hakuniangusha.
1575882933508.png

13. Katika kusoma comedy nikakutana na a confederacy of dunces nipo nusu, kizuri sana.
1575882836580.png

14.Nilikuwa natafuta SciFi series ya kusoma. Nikapata The expanse nimesoma kitabu cha kwanza, Leviathan wakes. imeanza vizuri na ni ya tofauti sababu imejikita ndani ya solar system kwahiyo inakuwa kama halisi hivi.
1575883519632.png


15. Kaptula la Marx. Nilikipata kwenye uzi wa GuDume kuhusu hiki kitabu. Nafikiri hii play ni timeless japo sidhani kama tutaweza kuiona majukwaani.
1575883083095.png

16. The truth about Muhammad. Kinaelezea uhusiano wa islamic extremists na matendo/mafundisho ya mtume, Ila kimenifanya nimheshimu Muhammad kama kiongozi na kamanda.
1575908307049.png

17.Democracy, The God that failed. Hiki bado nakisoma, kinavutia kusoma sababu kinatoa mawazo mageni mbali na nilivyozoea kufikiri.
1575908257446.png





Nimesoma vitabu vingi baada ya kutajwa wadau humu, nimeanza kusoma The gulag Archipelago baada ya kutajwa humu Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Karibuni kwenye mjadala wakuu, wachache kwa kuwataja Malcom Lumumba Alisina Calfornia Kiranga @D vincci. karibuni nyote.
 
60 YEAR BOOK CHALLENGE

QUARTER ONE BOOKS
1.Bad blood-John carreynue
2.21lessons for 21st century- yuan Noah Marari
3.Factfulness-Hans Rosling
4.Emergency viruses (AIDS&EBOLA)..Nature &accident or intention-Leonard Herowitz
5.Opereshioni panama-Japhet nyamongo
6.50th law-50CENT&Robertgreene
7.JACKSONINC-ZACK.O.MARLEY
8.The10timesrule-Grant cardone
9.Dead aid-Dambisa Mayo
10.Built to last-Jim Collins
11.The amaizing S.A.S-Ian Macphedran
12.The7 habit of highly effective people--Stephen covey
QUARTER 2 BOOKS
13.The wolf of wall street-jordan belfort
14.The art of war-SunTzu
15.Behind presidential curtain-Noble malala
16.The adventureof TinTin in the land of soviety-TinTin
17.I can I must I will(spirit of successz)-Reginald Mengi
18.The intelligent investor-Benjamin graham
19.Around the way giel-Taraj henson
20.Tanzania industrialization journey-A.A.mafuruki,Rahim Mawji
21.Freshwater Aquariu, for dummies-Maddy hargrove
22.The powet of habits-brian tracy
23.International konetary report on tanzania-imf
24.Richest men inBabyron-George s
25.Delivering happiness-Tonny hsieh
26.shoe dog-Phil knight
27.sales bible-Geffrey Gitommer
QUARTER 3 BOOKS
28.The subtle art of not giving a https://jamii.app/JFUserGuide-Mat manson
29.Why great man fall-wayde Goodal
30.Allan quartemanrider Haggard
31.Secret-Rhonda bryne
32.The monk who sold his ferrari-Robin sharma
33.Who moved my cheese-spencer Johnson
34.Socrates in 90 minutes-paul Strathen
35.The 5 second rule-Mel robbinson
36.Truth doesnt have a side-Dr Bennet Ommaru
37.China Diplomacy and economic activities in Africa-Anja Rahtinen
38.Dictatorland (The man who stole Africa)-Paul Kenyon
Ntakuja na quarter 4 mwiaho wa mwaka aim ni kusoma vitabu 60 hadi sasa nmesoma vitabu 49 katika mafanikio makubwa nnayojivunia moja wapo ninkufikia lengo la hivi vitabu imeniongezea maarifa mengi sana.....Imefikia kipindi mwaka unaelekea wa 2 huu sijagusa tv Big up kwa zitto kabwe mwaka juzi niliposoma waraka wake wa vitabu alivyosoma niliona kama uchawi akanipa mshawasha wa kujaribu ?.....niseme tu watanzania tunapoteza kikubwa sana kwa kutosoma vitabu..hapo nahisi ndo mzungu alipotuzidi..fikiri matajiri wakubwa wote duniani kama bill gates, warren buffet mark zwarberger na wengine pamoja na ubize na pesa nyingi ila wanasoma si chini ya vitabu 50 kwa mwaka....Watanzania tuongeze juhudi katika hili
 
salama wakuu, kwanza naomba kupropose kuwa tarehe 9 desemba kila mwaka uwe mwanzo wa kujadili usomaji wetu wa vitabu wa mwaka husika huku tukisherekea uhuru wa kifikra utokanao na usomaji na pia sababu tunahitaji muda wa kujadili kabla mwaka hujaisha. Kama mods wataona inafaa wawe wanatuwekea uzi kila 12/9
1.Born a crime by Trevor Noah. Hiki kitabu kinazungumzia maisha na makuzi ya comedian Trevor Noah wakati wa ubaguzi wa rangi huko sauzi. Kilitajwa sana mwaka jana, nikaona nikisome maana namkubali sana Noah, ni kitabu poa sana.
View attachment 1286234
2.Asia's Cauldron: The south China sea and the end of a stable pacific. Hiki kinaelezea mgogoro wa bahari ya kusini China, nchi zinazohusika na nafasi ya Marekani kwenye huo mgogoro. Ni kizuri kama upo interested na hiyo ishu.

View attachment 1286227
3.Out of the Gobi: my story of China and America bya Weijian Shan Kinazungumzia maisha ya huyu bwana kwenye China ya Mao hadi kuwa Prof US. Kizuri sana, Na kinamatukio mengi ya kusisimua, kushangaza, kuhuzunisha na kuchekesha.

View attachment 1286238
4.China's Disruptors. Hiki kinazungumzia jinsi makampuni binafsi, hasa ya tech yanavyoibadilisha China. Pia kinaeleza kwa kirefu mazingira ya biashara China. Nilikipenda.
View attachment 1286241
5.AI superpowers:China, Silicon valley and the New world order.Mwandishi anaeleza historia na applications za artificial intelligence, pia anaeleza jinsi China ilivyo kwenye nafasi nzuri ya kuwa AI superpower. Nimejifunza Mengi kuhusu AI.
View attachment 1286239
6.The Yom Kippur war: The epic encounter that tranformed the middle east. Vita ya 1973 kati ya Israel dhidi ya Misri na Syria.
View attachment 1286244
7.Sapiens: A brief history of humankind by Yuval Noah, niliona kimetajwa mwaka jana, ni kitabu kizuri sana na kimejadiliwa sana humu.

View attachment 1286256
8.The Alchemist: bonge la kakitabu, nilikuwa nakapita, ila baada ya kutajwa sana mwaka jana ikabidi nikasome.
View attachment 1286247
9.The great mortality. Hiki kinazungumzia jinsi bubonic plague(Tauni) ya 1340-1400 ilivyoua watu huko Ulaya na matokeo yake kwa jamii.
View attachment 1286242
10.Baada ya kusoma hicho hapo nikasema nijifunze na Spanish flu, nikaanza kusoma,The great influenza. Hiki sijamaliza na sijui kwanini, maana ni kitabu kizuri sana, kinazungumzia mabadiliko ya medical education huko US, Mabadiliko(mutation) ya virusi vya mafua, mapambano dhidi ya milipuko ya mafua. Natumaini ntakimaliza mwakani.
View attachment 1286271
11.The last black unicorn by Tiffany Haddish, Ni memoir ya huyu comedian, sehemu zingine kipo deep.
View attachment 1286275
12.Is everyone hanging out without me by Mindy Kaling. Namkubali sana huyu comedian, nikaona nimsome nicheke, hakuniangusha.
View attachment 1286274
13. Katika kusoma comedy nikakutana na a confederacy of dunces nipo nusu, kizuri sana.
View attachment 1286273
14.Nilikuwa natafuta SciFi series ya kusoma. Nikapata The expanse nimesoma kitabu cha kwanza, Leviathan wakes. imeanza vizuri na ni ya tofauti sababu imejikita ndani ya solar system kwahiyo inakuwa kama halisi hivi.
View attachment 1286290

15. Kaptula la Marx. Nilikipata kwenye uzi wa GuDume kuhusu hiki kitabu. Nafikiri hii play ni timeless japo sidhani kama tutaweza kuiona majukwaani.
View attachment 1286278
16. The truth about Muhammad. Kinaelezea uhusiano wa islamic extremists na matendo/mafundisho ya mtume, Ila kimenifanya nimheshimu Muhammad kama kiongozi na kamanda.




Nimesoma vitabu vingi baada ya kutajwa wadau humu, nimeanza kusoma The gulag Archipelago baada ya kutajwa humu Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Karibuni kwenye mjadala wakuu, wachache kwa kuwataja Malcom Lumumba Alisina Calfornia Kiranga @D vincci. karibuni nyote.
Kaptula ya max naipataje mzee
 
60 YEAR BOOK CHALLENGE

QUARTER ONE BOOKS
1.Bad blood-John carreynue
2.21lessons for 21st century- yuan Noah Marari
3.Factfulness-Hans Rosling
4.Emergency viruses (AIDS&EBOLA)..Nature &accident or intention-Leonard Herowitz
5.Opereshioni panama-Japhet nyamongo
6.50th law-50CENT&Robertgreene
7.JACKSONINC-ZACK.O.MARLEY
8.The10timesrule-Grant cardone
9.Dead aid-Dambisa Mayo
10.Built to last-Jim Collins
11.The amaizing S.A.S-Ian Macphedran
12.The7 habit of highly effective people--Stephen covey
QUARTER 2 BOOKS
13.The wolf of wall street-jordan belfort
14.The art of war-SunTzu
15.Behind presidential curtain-Noble malala
16.The adventureof TinTin in the land of soviety-TinTin
17.I can I must I will(spirit of successz)-Reginald Mengi
18.The intelligent investor-Benjamin graham
19.Around the way giel-Taraj henson
20.Tanzania industrialization journey-A.A.mafuruki,Rahim Mawji
21.Freshwater Aquariu, for dummies-Maddy hargrove
22.The powet of habits-brian tracy
23.International konetary report on tanzania-imf
24.Richest men inBabyron-George s
25.Delivering happiness-Tonny hsieh
26.shoe dog-Phil knight
27.sales bible-Geffrey Gitommer
QUARTER 3 BOOKS
28.The subtle art of not giving a ****-Mat manson
29.Why great man fall-wayde Goodal
30.Allan quartemanrider Haggard
31.Secret-Rhonda bryne
32.The monk who sold his ferrari-Robin sharma
33.Who moved my cheese-spencer Johnson
34.Socrates in 90 minutes-paul Strathen
35.The 5 second rule-Mel robbinson
36.Truth doesnt have a side-Dr Bennet Ommaru
37.China Diplomacy and economic activities in Africa-Anja Rahtinen
38.Dictatorland (The man who stole Africa)-Paul Kenyon
Ntakuja na quarter 4 mwiaho wa mwaka aim ni kusoma vitabu 60 hadi sasa nmesoma vitabu 49 katika mafanikio makubwa nnayojivunia moja wapo ninkufikia lengo la hivi vitabu imeniongezea maarifa mengi sana.....Imefikia kipindi mwaka unaelekea wa 2 huu sijagusa tv Big up kwa zitto kabwe mwaka juzi niliposoma waraka wake wa vitabu alivyosoma niliona kama uchawi akanipa mshawasha wa kujaribu ?.....niseme tu watanzania tunapoteza kikubwa sana kwa kutosoma vitabu..hapo nahisi ndo mzungu alipotuzidi..fikiri matajiri wakubwa wote duniani kama bill gates, warren buffet mark zwarberger na wengine pamoja na ubize na pesa nyingi ila wanasoma si chini ya vitabu 50 kwa mwaka....Watanzania tuongeze juhudi katika hili
Hongera sana mkuu. Kikweli muda wa kusoma upo. Ukiangalia muda tunaotumia kwenye TV na simu!. Hicho 21 lessons for 21 century itabidi nikisome. Wengi wamekitaja. Kipi kingine kwenye list yako unasuggest nisome?
 
60 YEAR BOOK CHALLENGE

QUARTER ONE BOOKS
1.Bad blood-John carreynue
2.21lessons for 21st century- yuan Noah Marari
3.Factfulness-Hans Rosling
4.Emergency viruses (AIDS&EBOLA)..Nature &accident or intention-Leonard Herowitz
5.Opereshioni panama-Japhet nyamongo
6.50th law-50CENT&Robertgreene
7.JACKSONINC-ZACK.O.MARLEY
8.The10timesrule-Grant cardone
9.Dead aid-Dambisa Mayo
10.Built to last-Jim Collins
11.The amaizing S.A.S-Ian Macphedran
12.The7 habit of highly effective people--Stephen covey
QUARTER 2 BOOKS
13.The wolf of wall street-jordan belfort
14.The art of war-SunTzu
15.Behind presidential curtain-Noble malala
16.The adventureof TinTin in the land of soviety-TinTin
17.I can I must I will(spirit of successz)-Reginald Mengi
18.The intelligent investor-Benjamin graham
19.Around the way giel-Taraj henson
20.Tanzania industrialization journey-A.A.mafuruki,Rahim Mawji
21.Freshwater Aquariu, for dummies-Maddy hargrove
22.The powet of habits-brian tracy
23.International konetary report on tanzania-imf
24.Richest men inBabyron-George s
25.Delivering happiness-Tonny hsieh
26.shoe dog-Phil knight
27.sales bible-Geffrey Gitommer
QUARTER 3 BOOKS
28.The subtle art of not giving a ****-Mat manson
29.Why great man fall-wayde Goodal
30.Allan quartemanrider Haggard
31.Secret-Rhonda bryne
32.The monk who sold his ferrari-Robin sharma
33.Who moved my cheese-spencer Johnson
34.Socrates in 90 minutes-paul Strathen
35.The 5 second rule-Mel robbinson
36.Truth doesnt have a side-Dr Bennet Ommaru
37.China Diplomacy and economic activities in Africa-Anja Rahtinen
38.Dictatorland (The man who stole Africa)-Paul Kenyon
Ntakuja na quarter 4 mwiaho wa mwaka aim ni kusoma vitabu 60 hadi sasa nmesoma vitabu 49 katika mafanikio makubwa nnayojivunia moja wapo ninkufikia lengo la hivi vitabu imeniongezea maarifa mengi sana.....Imefikia kipindi mwaka unaelekea wa 2 huu sijagusa tv Big up kwa zitto kabwe mwaka juzi niliposoma waraka wake wa vitabu alivyosoma niliona kama uchawi akanipa mshawasha wa kujaribu ?.....niseme tu watanzania tunapoteza kikubwa sana kwa kutosoma vitabu..hapo nahisi ndo mzungu alipotuzidi..fikiri matajiri wakubwa wote duniani kama bill gates, warren buffet mark zwarberger na wengine pamoja na ubize na pesa nyingi ila wanasoma si chini ya vitabu 50 kwa mwaka....Watanzania tuongeze juhudi katika hili
What the #### 🤭 a year! You read all of that books? and still the 👆list is not over yet 🙆‍♂️.
 
Hongera sana mkuu. Kikweli muda wa kusoma upo. Ukiangalia muda tunaotumia kwenye TV na simu!. Hicho 21 lessons for 21 century itabidi nikisome. Wengi wamekitaja. Kipi kingine kwenye list yako unasuggest nisome?
Depend on your taste but for me Must read are factfulness, 50th law, art of war,I must I can I will,Tanzanian industrialization, shoe dog ah ah all books are muat read bro
 
Back
Top Bottom