Umetembea na wangapi kwenye phone book yako?

Umetembea na wangapi kwenye phone book yako?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Jana nilienda salon moja kusuka mitaa ya Sinza, nikakutana na dada anasimulia kwamba yeye huwa akitembea na mtu, hafuti namba yake, na yeye hawezi ku save number ya mtu ambaye hana interest naye za kingono. Nikashangaa sana.

Nilipofika home kwenye mastory na mzee, nikamwambia hiyo issue, kwani unadhani hata alishangaa? Anasema wao wakiwa vijana walikuwa wanaorodhesha kwenye daftari orodha ya kila mwanamke anayetembea naye.

Duh.... bora alitumika huko, sasa amezizoea. Ni aina ya mwanaume ambaye simu yake haweki password na anaiacha akiwa huru.

Namuamini sana
 
Wanapakigi magari pembeni kabla ya kufika nyumbani wafute kila kitu dada 😀😀😀, michepuko ina adabu hawapigi wala kutuma msg mzee wako akiwa nyumbani
Duh.... bora alitumika huko, sasa amezizoea. Ni aina ya mwanaume ambaye simu yake haweki password na anaiacha akiwa huru.

Namuamini sana
Muamini mwaya
 
Mkuu unatega mafao?Anyway vizee vya skuizi vihuni,hakikisha unatatuta Hilo daftari ujue,nafasi yako ya mafao lasivyo utapigwa na kitu kizito.
 
Binafsi nikishatembea na mtu nafuta namba yake nahamishia kichwani kwa matumizi ya baadaye.
So phonebook yangu ni nyeupe.
 
Back
Top Bottom