Shuku_
Senior Member
- Sep 26, 2019
- 174
- 216
Habari zenu wakuu wa MMU 👋🏽 👋🏽
Kila mmoja wetu ana njia zake za kubaini jambo LILILOFANYIKA au LITAKALOFANYIKA kwa njia yake ya udadisi tu wa kibinadamu.
Udadisi huo huja pale ambapo MMOJA wetu anaona mashaka kwa MWENZIE ili kubaini ukweli wa jambo fulani la nyuma au mbeleni kupitia njia yake hiyo ya kidadisi.
_____________________________
Wewe, binafsi umetumia njia gani kujua kuwa MPENZI, MKE au MUME uliyenaye naye anafaa kuwa MZAZI au MLEZI bora wa wanao?
Kila mmoja wetu ana njia zake za kubaini jambo LILILOFANYIKA au LITAKALOFANYIKA kwa njia yake ya udadisi tu wa kibinadamu.
Udadisi huo huja pale ambapo MMOJA wetu anaona mashaka kwa MWENZIE ili kubaini ukweli wa jambo fulani la nyuma au mbeleni kupitia njia yake hiyo ya kidadisi.
_____________________________
Wewe, binafsi umetumia njia gani kujua kuwa MPENZI, MKE au MUME uliyenaye naye anafaa kuwa MZAZI au MLEZI bora wa wanao?