Mi napiga ana anadoo tu.....
wa hivi mkijaga kuachwa mnaliaga mpaka komwe linachemka kama pasi...π€£Ana sifa za upendo, upendo huvumilia na upendo hauhesabu mabaya na upendo hautakabali...
Napenda tu F Mungu anajua....
nilishakuambia badilisha hiyo bangi..π€£Mi napiga ana anadoo tu.....
Alikua na sifa zifuatazoHabari zenu wakuu wa MMU ππ½ ππ½
Kila mmoja wetu ana njia zake za kubaini jambo LILILOFANYIKA au LITAKALOFANYIKA kwa njia yake ya udadisi tu wa kibinadamu.
Udadisi huo huja pale ambapo MMOJA wetu anaona mashaka kwa MWENZIE ili kubaini ukweli wa jambo fulani la nyuma au mbeleni kupitia njia yake hiyo ya kidadisi.
_____________________________
Wewe, binafsi umetumia njia gani kujua kuwa MPENZI, MKE au MUME uliyenaye naye anafaa kuwa MZAZI au MLEZI bora wa wanao?