Nashukuru kwa ushauri Bishanga, huwezi amini huwa natamani hii hali iondoke kwangu ila imeshindikana, iliniathiri kwa kiwango kikubwa sana ndugu yangu, siku nilipogundua huo usaliti Faham zilinipotea kama dk 15, baada ya kuzinduka vikabaki vilio na majuto ya kumwamini mwanadamu kama mimi. Ila nilichojifunza mpaka sasa ni kwamba sintokaa nimwamini mwanaume yeyote mpaka siku naingia kaburini. Nilipatwa na mkasa wa karne ya sayansi na teknolojia! Sijui kama kuna siku ntasahau kabisa.
nashukuru kwa ushauri bishanga, huwezi amini huwa natamani hii hali iondoke kwangu ila imeshindikana, iliniathiri kwa kiwango kikubwa sana ndugu yangu, siku nilipogundua huo usaliti faham zilinipotea kama dk 15, baada ya kuzinduka vikabaki vilio na majuto ya kumwamini mwanadamu kama mimi. Ila nilichojifunza mpaka sasa ni kwamba sintokaa nimwamini mwanaume yeyote mpaka siku naingia kaburini. Nilipatwa na mkasa wa karne ya sayansi na teknolojia! Sijui kama kuna siku ntasahau kabisa.
Aksante sana BAK!Pole sana SL.
pole sana sana.....,
Kwa sababu mapenzi yana raha yake hasa ukibahatika kuyapata ya kweli siyo yaliyojaa usanii.
SL nadhani ni mie niliyekuumiza na huku mbele wala hapakuwa kwema. Natamani kukutafuta lakini naogopa kwa kuanzia. Tusameheane na nakuombea saana siku zote maisha yasonge mbele.Thanx a lot nnunu!
Nashukuru kwa ushauri Bishanga, huwezi amini huwa natamani hii hali iondoke kwangu ila imeshindikana, iliniathiri kwa kiwango kikubwa sana ndugu yangu, siku nilipogundua huo usaliti Faham zilinipotea kama dk 15, baada ya kuzinduka vikabaki vilio na majuto ya kumwamini mwanadamu kama mimi. Ila nilichojifunza mpaka sasa ni kwamba sintokaa nimwamini mwanaume yeyote mpaka siku naingia kaburini. Nilipatwa na mkasa wa karne ya sayansi na teknolojia! Sijui kama kuna siku ntasahau kabisa.
Swadakta mkuu,nimekupata sana,na hapo kwenye red ndo maana hufika pahala ndani ya mahusiano mmoja huona mawenge na kuamua 'kumuumiza mwenza wake' na aliyeumizwa hushia kusema 'kaniacha wala sijui nilimkosea nini'.Si rahisi kutofautisha hasa pale penzi linapokuwa changa lakini kadri siku zinavyosonga mbele utaanza kuyaona mambo anayokufanyia mwenzio ambayo hayaonyeshi upendo wa dhati na hata uaminifu na mengi mengineyo yanayohusiana na mapenzi.
SL nadhani ni mie niliyekuumiza na huku mbele wala hapakuwa kwema. Natamani kukutafuta lakini naogopa kwa kuanzia. Tusameheane na nakuombea saana siku zote maisha yasonge mbele.
Acha kuapiza SL,hiyo ni kazi ya Maanani.Ishi kwa imani na pokea kila linalokuja kwako kwa unyenyekevu maana yote ni mafunzo.Binadamu tuko tofauti na wa kweli wapo pia.Just relax and move with the tide,usiwe mgumu,elea tu kama vile uko ziwani.Best wishes,siku zali likikudondokea usiache kunialika kwenye harusi!
Huko si kusamehe ninapotaka kukusikia. Hivi ni dhambi kuwasiliana na yule mliyetofautiana? Maana kuna wakati ninafeel guilty lakini tatizo nikikurushia neno kidogo tu unageuka kuwa mkali saana.Nimekusamehe lakini sintokusahau. Nakuombea mema pia mpendwa!
Huko si kusamehe ninapotaka kukusikia. Hivi ni dhambi kuwasiliana na yule mliyetofautiana? Maana kuna wakati ninafeel guilty lakini tatizo nikikurushia neno kidogo tu unageuka kuwa mkali saana.
<br />Tukisalimiana inatosha sana. Unataka kusamehewa vipi???
<br />
<br />
sasa nikikuona hata kwenye messenger nashindwa kuchat. Kukupigia je, inawezekana?
hii kitu ni noma, tunaumizwa moyo na hatuachi kupenda tena.
kupiga ndo ucjarb kabsaaaa!