Umeupokeaje mwaka 2024

Umeupokeaje mwaka 2024

Mnaharakia nin?
January mnaanza huu mwaka 2024 uishe tu
Screenshot_20231231_194714.JPG
 
Sisi watu wa sola scriptura mwaka mpya tayari tumeshauona

Maana siku inaanza jioni jua linapozama siyo saa saa sita na dk moja (Mwanzo 1:5)

Kwa namna hiyo niwatakieni nyote heri ya mwaka mpya Mungu awe pamoja nasi kwa mwaka huu mpya machungu na magumu tuliyopitia mwaka uliopita Bwana atutendee mema kwa mwaka huu mpya na wale ambao Bwana alitupa mafanikio na kututimizia haja zetu tudumu kumuamini na akawe mwema zaidi kwa mwaka huu
 
Back
Top Bottom