Anependeza huyu,Kama mwenzie wa kwenye avatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Selfika Version II
Weka madawa mapema kusiwe na vita na hekaheka kama kwenye selfika
NakaziaBinti macho weka kapicha nafsi yangu isuuzike.
Hebu tukuone mtoto mzuri, natafuta mke.Wadau punguzeni maneno wekeni picha tuone kabla bundle halijaisha πππ
Pole, sasa hivi nitajizuia nisiweke hata ukuchaπBinti macho weka kapicha nafsi yangu isuuzike.
Unataka uniponze weweπNakazia
haya bana,Pole, sasa hivi nitajizuia nisiweke hata ukuchaπ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja tuone.
Leo ume confessπ? Si ulisema umeacha mapambano.haya bana,
ila unautesa mtima wangu.
πππ Nna sura ya baba, bonge afu mweusi tiiiiiHebu tukuone mtoto mzuri, natafuta mke.
Ngumu sana kuficha hisia.Leo ume confessπ? Si ulisema umeacha mapambano.
Weka shosti tuone vitu adimu πππUnataka uniponze weweπ
naota utamuπPichu ya nini wakati wa kulala
Tuanze na wewe mremboππ₯πWeka shosti tuone vitu adimu πππ