Umesababisha uzi umefungwa πMfyuuuh.
Mshana Jr hongera kwa misukule yako, ikifungiwa uzi huu inakuja huu kokokoHahahahaa
[emoji419][emoji375][emoji1545][emoji818]Tangu hiyo siku nilijifunza kuwa - ktk maisha ni furaha zaidi kutenga muda kuappreciate watu wazuri na moments nzuri maishani, kuliko kupoteza muda kukumbuka watu wabaya ama moments mbaya maishani.
Bad people/moments makes us stronger, good people/moments makes us happier
Njooo
Una damu kali sana.Duh [emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana tafadhali sana brother[emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Yaani acha tuEeh kumbe SELFIKA imekula rungu tena? Wachafuzi ni akina nani hao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikuwaje tena? Hamkuwarepoti? Siku hizi nalala sana sijui uzee?
ππ ila wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui mambo ya aftatu
Wakatukana hadi wazazi wao.