Ile ya nyuma nimeielewa sana...!
1 na 2[emoji39]
Kumbe unapenda mafuta...[emoji3][emoji3][emoji3] tarco laini kama supu ya mapupu[emoji39][emoji39][emoji1787]Mitipwa tipwa ina Raha yake...hapo mwanzo nilikuwa siyaelewi...siku Moja huko Tanga walini prove wrong...matipwa tipwa Yana sehemu yao mbinguni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha niendelee kupiga kazi, mwamba aje ani tungie mashairi 😂🤣😄.
Kwani msechu tumbo limepatwa na nini?
Why can't I see any other passengers, au ndo bingwa wa tress pass muda wako ume fika 🤔🤓
Lotsa pp wanatoka posta to Gongo la mboto during the day but come night,just a few cats heading that way,si bingwa wa tresspassing bali ni kibaka kabisa, nasubiri daladala yangu ifike nipande nikapore mali zao.Why can't I see any other passengers, au ndo bingwa wa tress pass muda wako ume fika 🤔🤓
Huwo ni mlenda wa nyanya ?
Hold up scudo, robbing isn't easy as to pick oranges on your neighbor farms.Lotsa pp wanatoka posta to Gongo la mboto during the day but come night,just a few cats heading that way,si bingwa wa tresspassing bali ni kibaka kabisa, nasubiri daladala yangu ifike nipande nikapore mali zao.
Sijaweka nyanya leoHuwo ni mlenda wa nyanya ?
Ni mzuri aisee, nilijua ni nyanya tu Kutokana na wekundu.Sijaweka nyanya leo
Ila huwa naweka
Huo ni maharage kidogo na karanga
Ni mzuri aisee, nilijua ni nyanya tu Kutokana na wekundu.
Nice cook madam.
Eating food is one among the submissive part of me😆.Maharage hayo
Huo wekundu ni magadi yamebadili rangi
Mtamu sana
Waweza maliza ugali sufuria lote