Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Sijapost kityuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona muoga sana weyeee!! Unaogopaaa?
Pale NEKTA nimepigwa ganzi. Natafuta wese la upako hapa nipate Kilainishi cha ganzi 🤣🤣🤣
 
Pale NEKTA nimepigwa ganzi. Natafuta wese la upako hapa nipate Kilainishi cha ganzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani imekuajee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em kaninong'onezee kulee.
 
Kwani imekuajee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em kaninong'onezee kulee.
Wale Wakuda Wajana wamepita tena moningi hii 🤣🤣🤣
Full ganzi halafu wale ni wazee wa kudele tu mpaka humu
 
Wale Wakuda Wajana wamepita tena moningi hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Full ganzi halafu wale ni wazee wa kudele tu mpaka humu
Nilishakuambia jichanganyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katavi inakuhusuu, wee huogopiiiiii?
 
Nilishakuambia jichanganyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katavi inakuhusuu, wee huogopiiiiii?
Bestie ngoja nirudi tu Ghetto nikaendelee na mishe zingine nipo Bamaga hapa napaona ni pale lakini mwili wote ganzi.
 
Bestie ngoja nirudi tu Ghetto nikaendelee na mishe zingine nipo Bamaga hapa napaona ni pale lakini mwili wote ganzi.
Wee jichanganyee, tangu uliposema huo mpango yuko na mzee wa Suti nyeusi, nilijua unataka kuyatimbaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Potezeaa bhanaa, au tukarogeee we unaonajeee??
 
Wee jichanganyee, tangu uliposema huo mpango yuko na mzee wa Suti nyeusi, nilijua unataka kuyatimbaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Potezeaa bhanaa, au tukarogeee we unaonajeee??
Bora niendelee kula mihogo na Mo eneji tu hayo siyawezi. 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…