Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Napambana Bestie na ninaelekea kufaulu. Nikifaulu tutakunywa Ugimbi, Komoni na Ulanzi tulewe sanaaa 🀣🀣🀣
 
Ndani ya dalaldala naenda Saba7, Mi ni Millennial Gen sio mtu mzima. Mbona Unaanza kunitabiria hivyo, wataka kuninyima nini we Gen Z? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Gen M ni wenye miaka mingapi?
 
Imagine mwaka 1995 ndio nilikuwa std 1.🀣🀣🀣
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Napambana Bestie na ninaelekea kufaulu. Nikifaulu tutakunywa Ugimbi, Komoni na Ulanzi tulewe sanaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Em semaaaa kweliiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…