Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Swa mkuuTupia ka photo boss
Fanya jambo😂😂Swa mkuu
Ahahaha jambo nitafanya ila uhuu sio mda wakeFanya jambo😂😂
Macho kodo wamelala now😂😂😂Ahahaha jambo nitafanya ila uhuu sio mda wake
Ahahahah usifunge sasa macho leo kuwa activeMacho kodo wamelala now😂😂😂
😂😂😂 Nipo hapaAhahahah usifunge sasa macho leo kuwa active
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em wewesekaa taratibu eeeh?! Nlishakuambia ile K.O haina comeback na huweziii!! Tafuta ahueni kwa hatua.Bro Coca shikamoo..
Nipo cazeee!!
🤗👄💖❤️❤️❤️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em wewesekaa taratibu eeeh?! Nlishakuambia ile K.O haina comeback na huweziii!! Tafuta ahueni kwa hatua.
Nweiiii marhaba mchumba hujambooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babe 💋♥️💕💕 mama tamu wanguNipo cazeee!!
Sawa ccyBado sis ngoja niangalie kwa kimeooo
Ugonile ni kilugha gani? Sio ngeni masikioni mwanguUgonile, tupieni izo picha tusafishe macho
Wewe tena, tupia kapicha basiUgonile ni kilugha gani? Sio ngeni masikioni mwangu
Anza weweWewe tena, tupia kapicha basi
Nmetupia sana kipindi uko bize na LucasAnza wewe
Mimi nimetupia sana, pole kama hukuonaNmetupia sana kipindi uko bize na Lucas
Tupia ata kule kwingineMimi nimetupia sana, pole kama hukuona