ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
ππ sio sana si nimekunja mguu ndomanaTrauzaa Imebana sana, had hapo kwenye vipira na pump panaoneshaa ukomavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwenye sherehe inatakiwa utinge suti na moka kaliiSuti ni kitu kinanishindaga mimi nimezea t-shirt na jeans π tu.ππ
Nitashindwa kutembea mimi napiga tshit jeans na buti kubwa kama mgamboππSasa kwenye sherehe inatakiwa utinge suti na moka kalii
Na hiyo rangi ya chungwa lazima uwake
Basi kila mtu ataenda kivyake tutakutana kwenye shereheNitashindwa kutembea mimi napiga tshit jeans na buti kubwa kama mgamboππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora ziwe salamaa, ndo uhai wa waja wa baadae.[emoji38][emoji38] sio sana si nimekunja mguu ndomana
ila pampu na gololi ziko salama kabisa [emoji1]
Basi usijali nitavaa suti πBasi kila mtu ataenda kivyake tutakutana kwenye sherehe
Subiri nifanye mazoezi ya kutoa kitambi then nije kuchit chatBasi usijali nitavaa suti π
Kwani kinauma ukitoe?Subiri nifanye mazoezi ya kutoa kitambi then nije kuchit chat
Mwakani nataka kugombea kua miss Temeke then niwe Miss Tz ili nishinde natakiwa kutoa kitambiKwani kinauma ukitoe?
Muda wa kuamka ndio huu sasa πSubiri nikiamka jana nilichelewa kulala.
Uzima upo lakini Daktari?
βΊοΈTutaenda woteBasi usijali nitavaa suti π
Wewe si hautaki buti? Nimeshayauza uza.βΊοΈTutaenda wote
Niliona mabuti yameenda wapi
Ya kizee yale! Hata bure sichukuiWewe si hautaki buti? Nimeshayauza uza.
Akhsante kwa Tag MkuuWinnone Darlin Ms eyes Saint Anne Tayana-wog Dr Lizzy madam Antonnia Dr. Mariposa Dejane financial services trudie am craving to see you again. Kujeni mtupie vitu uku
Ok endelea kuwepo mtoto wa shangazNipo cazeee!!
Usitoke sasaπππ Nipo hapa
Nimekaa mbao ndefu nasubiriUsitoke sasa
Umeamka vizuri kweli π π
Cute mashallah
Wewe je???Cute mashallah