Umeshikaje hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nimalize kuimba[emoji23]
Kumbe wameadabishwa safi sana!Atakayeuvuruga ama atakayejaribu kuuvuruga awaulize waliouvuruga SELFIKA nini kiliwapata..[emoji35][emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Me wamenishindaNgisi ninewahi ni watamu, pweza sijawahi kula siwapendi
Nini?[emoji849]
Hakuna lolote watu wamebania álbum zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waje
SemaaaNiseme nisiseme...
Tupiaaa mafotoo tupiaaaa mafotoo😁!Hakuna lolote watu wamebania álbum zao
Shabhodogo Shenesho..(Shabhokoo)Ūtalīnyanda ndololo (myaka makūmyadatū guke) alyīmvī shakī nyanda? 😁😁😁
Atu la uganga hilo.
Almanusura niseme Dr Isaac Maro, oyaa upo TPDF😁intake ya 2020 mafunzo Russia? Nijibu kabla sijaja piemuniMkuu hivi una ndugu yako yeyote ni mwanajeshi amesoma urubani ufaransa
Mbona unawatisha wadau unataka wasilale usiku wakeshe wakiomba.Atakayeuvuruga ama atakayejaribu kuuvuruga awaulize waliouvuruga SELFIKA nini kiliwapata..[emoji35][emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntiluseswa mzeiya wa kupita naked hajiulizi mara mbiliiii ,🤠cocastic mlete cazee wako wa Mwandiga Kigoma aje kutupia pic 😂😂😂
Yule jamaa uko aliko anajua JF imefutwa!!!
Kashazoea selfika tyuu!! Ss hivi hauoni uzi anajua ndo basi hebu muiteni apite naked