Si unajua penzi jipya ni bandika bandua 🤣🤣🤣Kwani sisi ndio tulikwambia unywe fourcousin ulewe mapema?🤣🤣🤣
Huu muda wa masengenyo si ungemkanda mzee wako miguuMaana umekaza fuvu mdogo wangu,maana ww mtoto ni mwanakulifind😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Achana na moyo wangu dogoHuu muda wa masengenyo si ungemkanda mzee wako miguu
Haa😃😃😃😂🤣Jumapili njema.View attachment 2818427
Eeh 😂😂😂Jumapili njema.View attachment 2818427
Utadhani mkungu wa ndizi🤣Haa😃😃😃😂🤣
Ume jigawa Kama matuta ya viazi🤣😂😂Utadhani mkungu wa ndizi🤣
Hiyo picha ya kuamka ndo nzuri fanya mambo.Ndio naamka sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
Waoooooh, always smart.Nimetupia zangu hivi, weekending..🩳
Ana ugonjwa wanguKama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2818351
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha,hv wengine madera ndio wamefanya night dress eehPoa kabisa, hii mida ulitaka nitume night dress sio?!
Thank you mkuuWaoooooh, always smart.
Hiyo O umeichonga vizuri🤙Bado nipo bed wakuu
Mi sijui jina lake sijui tlaahtilaah sijui nani?Nabii gani 😅😅😅 hebu mtag naye niruke naye nafasi haijajaa
HahahahaHiyo O umeichonga vizuri🤙