Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Mbaya zaidi tuona sifa.
 
Bikra yako inahusikaje kwenye hii mada??...hamna kitu hapoo unajikuta mstaarabuu hahaha[emoji23][emoji23]
 
Ina maanisha huu uzi ulikua haukuhusu ivoo,
Au ndio biashara matangazo kwa kumkandamiza mwengine
 
Peleka tumbo huko kujifanya mlokole huku jukwaan umefuata nini
 
Watu wa Jf akili sjui mnaziweka wapi.nyie si ndo kila siku kwenye uzi wa kimasihara mnadai wanawake hawatoi visa? Saiv mmoja kaamua kufunguka ili tupate tuvisa vya kupigia nyeto mnaanza kukejeli na kutukana mpk wenzake wanaogopa.
Wa*nge ninyi mnaboa kinaz😠😠😡
 
Maharage ya mbeya characteristics.
 
I don't like to share especially something that's overused.

I hope the car you drive is brand new.

Chupa za bia na soda na glasi tunazotumia kunywea are all overused.

Daladala tunazopanda ni overused.

Nyumba tunazopanga ni overused.

Kama una mke au ukioa na kuishi na mkeo for a couple of years she will be overused as well tena by you. Hopefully you will marry another.

Hivyo ni lazima nipate mwanamke anayejitambua na kujiheshimu, lazima niangalie at the bigger picture na future ya generation yangu. there's a lot in life than hanging and banging.

Are you virgin Sir?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…