Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Yosofo alikuwa ni kejana mzore Sana baba , lakene aleweza kuveshenda veshaweshe vya mwovo ebelese , mke wa potifar lakene vejana wako wanaangamea , tookoe na mwovo baba
Tosaedie sese masekene na wakosefo.

Haleloooooooya
 
Natamani sana kuoa na kuwa na maisha ya mke na familia ila kila siku zinavyozidi kwenda nazidi kupata mashaka kama kuna mwanamke safi dunia hii, but I won't give up searching.
Anyway screw it.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna binti niliwahi mtoa bikra, baada ya mwezi kupita, nikatangazia rafiki zangu, rafiki yangu mmoja akadakia kuwa bikra kaitoa yeye! Siku moja nikamsikia Mangi akisema kuwa kamtoa bikra yule sister! Kuna mdau karuka nae jana, leo kanambia kamtoa bikra! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binti kalika huyu 🤣
 
Hahahaa kwa sisi wanaume huwa hatufanyi sex kwa bahati mbaya hivo huu uzi ni wa akinamama ni sawa tu na ule wa kula kimasihara
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Acha ushamba utakuwa huoi, hutaki kuwa kama bilnas?
 
Mara zote nlizoona ni genye zilikuponza ....ila kwa mkuu ulikubaliana ... any way stori zote zinenitia genye pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…