Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?


Unajua siku ile nilivyofanya na wewe sikuzania kama ningeweza
 
Hiyo ni karibu na nyakati za advance.
Baadae anajitokeza njemba anabeba mzigo wa kulitunza shamba lililoteswa na mafuriko.
Huyo njemba anaanza kulalamikiwa kutokujua kulima vyema duuuh.
 
Mbona umetoboa siri tena wangu/unajua hapo kwenye wilaya X nilikuwa ni me daaaaaaaaaah
 
Nakupongeza sana kwa ujasiri wako wa kusimulia matukio yako.
Pia n hatua za ukuaji.
Hakuna aliyemkamilifu dada angu, hao watakao kuona malaya, wamekuzidi. Kwanza malaya mara mbili pia waongo
Acha unafiki na kujikomba kama vipi zama pm.
Ukahaba ni ukahaba tu haijalishi nani kaufanya.
Kujitunza ni jambo muhimu mno kuliko unavyofikiria...hata kama utashindwa kujitunza ni vyema kujutia kuliko kusifia uovu.
 
Umevuka viwango vya masihara ww, kwa maelezo yako unastahili kutumikia kifungo kama R Kelly Jela kwa kumbaka mwanafunzi wa form2 Unapepo la kugonoka
Kwa urahisi huu bila shaka idadi imevuka 100
 
Umeongea vizuri sana.
Sisi wanaume huwa tuna majaribu sana kwa wanawake lkn mwisho wa siku tunataka kuona uimara wa mwanamke katika kujitunza.
Hata mimi ambaye ni mwanamme huwa najizuia kutojirahisi kwa kila mwanamke anayenivutia...mwanamke anatakiwa kujitunza zaidi
 
Ninachukia sana mwanamke mrahisi kiasi hiki.
Raha ya msichana akuzungushe angalau siku kadhaa...yaani huyu anasukumwa tu na anapanua mapaja aaaah
[emoji34][emoji34][emoji34]
Mkuu, hao wa kujizungusha ushawahi kuwachunguza?

Kuna binti alinizungusha miezi minne. Mwisho wa siku nikajimegea tunda. Za chinichini si ndo zikaibuka! Kumbe binti anapigwa collabo kila weekend na mtu na mdogo wake huyo mtu. Halafu ukizicheki raia ni afya mgogoro, alooo! Nilienda kupima, nikarudia baada ya miezi mitatu, nilivyojikuta safi, nikatokomeza mazoea kabisaa!

Bora ukutane na wale wa chekelea! Yaani hii haina utofauti na wanaume ambao ni wakimya, kumbe ma silent killer balaa!
 
Huwa sipendi mwanamke anayenizungusha kwenye mahusiano coz huwa sio mwongeaji sana. Hata nakutingoza nitakwambia nimevutiwa na wewe naomba tuwe wapenzi, fullstop, ukikataa nanyamaza maisha yanaendelea.
Wanawske type ya huyu alotoa uzi ndo huwa nawapenda@roselyn2 nimekupenda tokea nlipomaliza kusoma uzi wako.
Si kwamba ni mrahisi ama malaya ila ni mwanamke muwzi, nikupe siri waschana umri wa shule huwa wanafanya mapenzi kupitiliza ndo maana mwanamke akiolewa anatulia kabisa sababu anakuwa asha haribu sana huki nyuma roselyn nakupenda mama acha wakuseme ila jua kuna mwanaume kakuelewa
 
Acha unafiki na kujikomba kama vipi zama pm.
Ukahaba ni ukahaba tu haijalishi nani kaufanya.
Kujitunza ni jambo muhimu mno kuliko unavyofikiria...hata kama utashindwa kujitunza ni vyema kujutia kuliko kusifia uovu.
Acheni kumkosoa dada wa watu,Kama ww n mtakatifu nenda kwenye jukwaa lako huko,huku tuachie sisi🤔
 
Inaonekana mpaka unamaliza advance umeliwa sana kimasihara, hapo hujawaweka walinzi na wapishi wa shule🤔
 
Ninachukia sana mwanamke mrahisi kiasi hiki.
Raha ya msichana akuzungushe angalau siku kadhaa...yaani huyu anasukumwa tu na anapanua mapaja aaaah
Njoo basi nitongoze nikuzungushe hata mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…