Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] za nyuma za mbele?
Ni vizuri kama ukipata ya mbele, ya nyuma huwaga zipo kwa sie wapori pori wa bara labda kwa wale ndgu zetu kule mwambao ndo unaweza kupata ya mbele ya nyuma holaa 😂😂
 
Sa si bora yake ana skendo ya kupigwa nao ndgu wawili tu au ulitaka umkute bikra??

Kama umemuelewa jamaa ni kua yeye anachukia hawa wa kuliwa kimasikhara kila iitwapo leo.
Yaani yeye akiwa na mwanaume sehemu yoyote ilimeradi mgegedo unaweza kifanyika bila kujali umri( kama huyo mleta uzi) basi anagegedwa bila tabu.
 
Njoo basi nitongoze nikuzungushe hata mwezi.
Sasa Hannah ukiangalia hawa wote wanne hakuna aliyetongoza yaani mtu unaangaliwa machoni na paap umeliwa?
Mwanaume utajiuliza tu kwa hali hii kaliwa na wangapi?
 
Naona unataka kushindana na rikiboy 🤣🤣🤣🤣
Wikend inaanza vizuri maana hapa kwenye story za de libolo na mbususu lazima watu tujae
 
Hao ni ambao hujategemea na ambao hujawataja wanafika wangapi 🤷?Then ivi uliacha?
 
Kila ukijaribu kuachana na mambo ya mbususu anatumwa mrembo mmoja aje atoe story tamu tamu jinsi alivyoliwa ilimradi tuu uendelee kuwepo kwenye dhambi.
Sasa genye zako hazina breki? Umalaya ni kujiendekeza mkuu na ukipenda bunye kupitiliza unakosa heshima katika jamii ma kujiletea mikosi na umaskini
 
Sasa genye zako hazina breki? Umalaya ni kujiendekeza mkuu na ukipenda bunye kupitiliza unakosa heshima katika jamii ma kujiletea mikosi na umaskini
Tell me something i dnt know!
Kwani wee unadhani sie hatuyajui hayo yote...achana na uraibu.
Ata wanaotumia madawa wanakwambia kabisa kuwa wanajua kitakachowatokea, jail or death by overdose but ndio hivyo bado wanayatumia. Shetani ana nguvu ya ajabu.

Mbona sie tunapigiwa kelele bwana mdogo hizi mbususu utajakufa shauri yako lakini sio kwamba hatusikii ni kwamba tayari uraibu umekuwa kwa kiwango kikubwa sana its hard to let go. Na society yet hamna sehemu ya treatment ya sex addicts. So ndio kama hivyo mzeya tunakufa huku tunajiona
 
[emoji28][emoji28][emoji28]

Sio wachoyo Hawa
Binafsi hayo majina nimepita nayo kama yote sio tu edina,heavenlight,diana,tina,maria,merry,sia,hawa,joyce yani wengiii balaa.
 
Umeongea kwa uchungu sana pole mkuu
 
Binafsi hayo majina nimepita nayo kama yote sio tu edina,heavenlight,diana,tina,maria,merry,sia,hawa,joyce yani wengiii balaa.
Majina hayana uhusiano na urahisi wa ngono lakini mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…