Nishawahi kuipata pisi kali sana ilikuwa naenda kununua groceries pale kwake na tukazoeana.
Chapa chap wala sikutaka stori za kaka na dada ama urafiki nikapenyeza ajenda yangu kidume kwamba nimezimika, mtoto akaelewa.
Siku ya jumapili haendi kazini basi ndo tukapanga liwalo na liwe, mie nikiwa na kipuru cha almost wiki 1 nikasema leo ni leo.
Kidume nikajikoki nikamtumia 20k hata aje kwa teksi ni sawa, nikalipia misosi na vinywaji tukashiba, nikaenda kulipa room kwajili ya kumsasambua.
tumefika room hapo nikaanza kumuandaa bibie romance na nini nini, nikaanza kumnyonya kitovu huku namvua zaga, duh jamani, ni kama nilihisi labda kuna soksi imevaliwa siku 3.
Yani hata mzuka uliisha kabisa, askari alikuwa yupo 4g na mishipa kama yote tayari kwa kukamilisha azma lakini nikatoka 100 kurudi 0 mashine ilinywea mithiri naoga maji baridi ya kambini.
Nikazuga zuga kichwa kinauma sikumbuki hata visingizio, nikaweka alarm kwenye simu ipige baada ta dakika 2 nikazuga nimeoata emergency na ndio ikawa history.
Chapa chap wala sikutaka stori za kaka na dada ama urafiki nikapenyeza ajenda yangu kidume kwamba nimezimika, mtoto akaelewa.
Siku ya jumapili haendi kazini basi ndo tukapanga liwalo na liwe, mie nikiwa na kipuru cha almost wiki 1 nikasema leo ni leo.
Kidume nikajikoki nikamtumia 20k hata aje kwa teksi ni sawa, nikalipia misosi na vinywaji tukashiba, nikaenda kulipa room kwajili ya kumsasambua.
tumefika room hapo nikaanza kumuandaa bibie romance na nini nini, nikaanza kumnyonya kitovu huku namvua zaga, duh jamani, ni kama nilihisi labda kuna soksi imevaliwa siku 3.
Yani hata mzuka uliisha kabisa, askari alikuwa yupo 4g na mishipa kama yote tayari kwa kukamilisha azma lakini nikatoka 100 kurudi 0 mashine ilinywea mithiri naoga maji baridi ya kambini.
Nikazuga zuga kichwa kinauma sikumbuki hata visingizio, nikaweka alarm kwenye simu ipige baada ta dakika 2 nikazuga nimeoata emergency na ndio ikawa history.