Umewahi kubadili dini na badae ukarudi dini yako ya awali? Ilikuwaje?

Umewahi kubadili dini na badae ukarudi dini yako ya awali? Ilikuwaje?

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Wakuu Habari za Jumapili? Binafsi sijawahi kubadili dini yangu ya awali, ila ninae kaka yangu yeye aliwahi kuhama kutoka KKKT, Full gospel, EAGT na saizi yupo kanisa lingine. Je, humu ndani tunao watu wenye kuhama hama ivo, Nini hasa sababu ya kufanya hivyo.

Tunaomba mlete uzoefu.
 
Wakuu Habari za Jumapili? Binafsi sijawahi kubadili dini yangu ya awali, ila ninae kaka yangu yeye aliwahi kuhama kutoka KKKT, Full gospel, EAGT na saizi yupo kanisa lingine. Je humu ndani tunao watu wenye kuhama hama ivo,Nini hasa sababu ya kufanya ivo.Tunaomba mlete uzoefu.
Unashindwa kutofautisha dhehebu na dini...Huyo kaka yako alihama madhehebu sio Dini.....
 
Nilitakaga kuhamia upande wa pili kisa mbususu
Process zikaanza nikapewa na jina bwana na baadhi ya vitu ambavyo ilitakiwa niviache
Alooooh nilighairi ghafla pale alipohusishwa mbuzi katoriki(hivi ningewezaje kuishi bila hiki kiumbe)
Hii kitu ni tamu kuliko hata mbususu yenyewe iliyotaka kunilaghai
 
Back
Top Bottom