Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
π€£π€£π€£π€£π€£Sanaa
Naweza kuku unblock ili nikuseme af katikati ya msemo nakulamba block
π₯Ήπ₯Ή maneno makali sanaNyie ndo mkiombwa mpaka nyuma mnatoaga, washamba wakubwa nyie, unamblock afu badae unaskia anamiliki pisi Kali zaidi yako na bado unakutana nae kazini kama boss wako.
Nna mda huo wa kusemwa sasa? Mimi tukishatibuana ikiingia sms nafuta bila ata kuzisomaSanaa
Naweza kuku unblock ili nikuseme af katikati ya msemo nakulamba block
Nyie π€£π€£π€£π€£π€£Nna mda huo wa kusemwa sasa? Mimi tukishatibuana ikiingia sms nafuta bila ata kuzisoma
Uwa nanote kuwa ignoredNna mda huo wa kusemwa sasa? Mimi tukishatibuana ikiingia sms nafuta bila ata kuzisoma
π mimi sitak please BeveUwa nanote kuwa ignored
Nikinote tu
Hunioni tena
NDio dawa hiyo mkuu ukisema usome na mtu mwenyewe ndio huyo msemaji utaumia bureNyie π€£π€£π€£π€£π€£
Nina mchepuko mmoja,sijui ana tatzo gani..akisikia maneno kuhusu mimi lazma anilime block..anapenda kunifuatilia,lakini akipata hizo taarifa napewa block..kwa wiki nakula block hata mara tatu.Siblokiki, ukiniblock utamimiss tu π
Me napenda sana kusoma mgomvi wangu katuma nn πNDio dawa hiyo mkuu ukisema usome na mtu mwenyewe ndio huyo msemaji utaumia bure
Una nyota ya haji manara sio bureMe napenda sana kusoma mgomvi wangu katuma nn π
Ndio ikoje?Una nyota ya haji manara sio bure
Jamaa una nidhamu sana wengi hawawezi kujizuia lazima wachungulie meseji kuisoma wanabaki na stress π€£π€£π€£Nna mda huo wa kusemwa sasa? Mimi tukishatibuana ikiingia sms nafuta bila ata kuzisoma
Kusema sema na uchokozi πNdio ikoje?
Mi sipendagi shida ni vile tu shida huwa zinanipenda πππ kuishi nao kwa akili ndio kwa style hiyoJamaa una nidhamu sana wengi hawawezi kujizuia lazima wachungulie meseji kuisoma wanabaki na stress π€£π€£π€£
Hiyo ninayo kwa mbali π€£π€£Kusema sema na uchokozi π
Wewe inaonekana njemba akiyakanyaga kwenye ugomvi wa meneno atajutaπ€£π€£π€£Me napenda sana kusoma mgomvi wangu katuma nn π
Nakubali chifuMi sipendagi shida ni vile tu shida huwa zinanipenda πππ kuishi nao kwa akili ndio kwa style hiyo