Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Naelewa mkuu na hii ishu yangu ya block sababu ni hii long distance. Nashauri watu wasiingie kwenye long distance relationshipKabisa mkuu
Binafsi long distance imeua mahusiano yangu kadhaa, sio rafiki kabisa
Sasa si ublock? Me nikisoma kikaumaInawezekana vizuri tu, hakuna kitu sipendi kama kujistress kwa kitu nachoweza kukizuia/epuka.
Nafanya hvi kwasababu huwa najali sana nkisoma ntaumia.
Tatizo sana hili 😄Naelewa mkuu na hii ishu yangu ya block sababu ni hii long distance. Nashauri watu wasiingie kwenye long distance relationship
Tena sio dogo shida inaanzia kwenye hisia. Asipopokea simu au kujibu meseji au itokee siku nzima hajakucheki akili inakwambia anakucheatTatizo sana hili 😄
huwa siblock nakupuuzia tu sikupi attentionSasa si ublock? Me nikisoma kikauma
Nakunywa maji
Af nakuwashaa mpk ikuguse
Ikikupata unafatiwa na block 🙂
😄 ngoja niigehuwa siblock nakupuuzia tu sikupi attention
Ni ngumu ukute miscall zake au meseji😄 ngoja niige
Utaweza? Hii lazima uwe mgumu kweli kweli kufuta sms 100 bila kusoma sio rahisi kama unavyozani😄 ngoja niige
Lazima nimuulize anatanga tanga nini?Ni ngumu ukute miscall zake au meseji
Kauli mbiu ni ileile inataka uwe na moyo mgumu sanaLazima nimuulize anatanga tanga nini?
Me siwezi 🤣🤣Utaweza? Hii lazima uwe mgumu kweli kweli kufuta sms 100 bila kusoma sio rahisi kama unavyozani
Hapo sitoboiKauli mbiu ni ileile inataka uwe na moyo mgumu sana
Pole mkuuKuna manzi nilimuelewa mno ikafika ck nikamuuliza inakuaje mbona umekua hata kunitafuta shida au km una mtu sema tu niwe wazi akasema yamekua hayo... Nikamwambia ndio sasa ck moja nipo fb nilitaka nmtumie ujumbe nikawa simwoni ndio nikagundua kanipa block. Nikamtafta kwa namba nyingine nikatext akajibu ww nani nikamwambia ndio umenipa block? Akasema sitaki usumbufu iliniuma mno.Ila nachochua kwa mtu unaempenda au anayekupenda hawezi kublock lkn ukiona umeblockiwa ujue hapo hakuna upendo.
Wengi hawawezi sio rahisi mamaMe siwezi 🤣🤣
Ni ngumu sana mkuu😂Ni ngumu ukute miscall zake au meseji
Amini chifu. Ni ngumu kwa mtu ambaye mlikuwa naye kwenye mahusiano kunogaNi ngumu sana mkuu😂
Mkuu ulipambana kweli hukukata tamaa , kipande kilichonifurahisha ni kile umeomba block alafu ukaomba vikwazo vitolewe baada ya kushinda yaani hapo ni sawa na kuomba vita alafu ukapigwa tukio ukakubali mwenyewe yaisheWaungwana shida ziko palepale!
Twendeni kwenye mada
Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.
Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule
Nitaanza na ushuhuda wangu
Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi
Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi
Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali
Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita
Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂
Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online
Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!
Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena
Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?
Karibuni sana
Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania