Umewahi kufanyiwa Utapeli gani ambao hautasahau maishani?

Nilipigwa 600000 pamoja na Tecno ya 260000 et wakijifanya kuwa kuna pesa bandia zinaingia nchini hivyo wao ni polisi wanakagua, mamaee huyo jamaa alikuwa amevaa nguo nahisi shati la 60000 suruali ya 100000 viatu vya 120000 yaani jamaa alikuwa kapendeza ila sim Nokia 6 button. Aisee nilimkabidhi laki 6 na sim avikague [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Kipindi hicho nasoma IFM pale tulikuwa na mchezo wa kuchukua ada ya chuo tunaenda kubadilisha Bureau de exchange kuwa dola alafu exchange rate ikipanda ya Tanzania tunabadilisha.

Nikakutana na tapeli akaniambia anajua sehemu bei imepanda za kubadilisha fedha zaidi ya pale nikamfuata. Wee naomba niseme nashukuru tu nimemaliza salama chuo.
 
Dah yaan kipande cha sabuni badala ya simu, kweli jamani! imepita miaka zaidi ya 20 ila sijasahu
 
Daaah ila wewe Jamaaa unatapeliwa Sana Hilo kisa Cha 1 ndo ulinichekesha Ulimuamini jamaa kisa kavaa vizuri na Ana kitambi? Ogopa sana wanaovaa vizuri Kuna mwamba apo anasema katapeliwa na jamaa aliovaa Smart kabisa ila uyo tapeli Simu alikua anatumia ni Nokia ya tochi
 
Nikimkumbuka mwanangu KIBELE na IZZY na kesi za utapeli nacheka sanaaaa kwenye kubeti tuu na kununua mikeka kudadeki 328k shwaaaa kama utani unamjua nani uyoooo MICHAEL BETTING STAR anakwambia anampiga muhindi kwake cio p
Jichanganye sasa ukiingia INSTA MSHUA KABISA lkn real life anadhiki balaaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240723-204811.jpg
    344.2 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…