OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ikitokea umekatwa itabidi tu upewe sumu ili ufe kabisa. Haina maana kuendelea kuishi kwani huo uume ndio roho yako,pumzi, uzima na kila kitu.Nawaza tu. Katika hali ya kawaida,iwe kwa ajali au vinginevyo. Nitawezaje kuishi bila uume. Kwa wale wasiojua uume ni sehemu za siri za nwanaume katikati ya mapaja zimefungamana na korodani.
Uume ndio unanifanya nionekane mwanaume,niheshimike ndani ya 6 kwa 6,mke wangu anililie pale ninapochepuka. Kama sina uume si ndoa itakufa hata kama napendwa sana. Mke wangu itakuweje,si nitakuwa siwezi kumkaza?akikazwa nje nitamlaumuje wakati sababu ninazo.
Kwa kweli ukomo wangu wa kufikiria umefika ukingo. Tusaidiane wakuu. Itakuwaje kidume bila uume hata wa kuzugia tu(usio na nguvu)
Nitalia sana ninavyoyapenda madudu tena yenye magoviii
😯Nikikatwa uume wangu nitaacha kufanya kazi.
[emoji23]
Nilijua tuu hautapita kimya kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji54]
Hahhahaha si kwa hiyo kabali ya mbaoNilijua tuu hautapita kimya kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah..!Nawaza tu. Katika hali ya kawaida,iwe kwa ajali au vinginevyo. Nitawezaje kuishi bila uume. Kwa wale wasiojua uume ni sehemu za siri za nwanaume katikati ya mapaja zimefungamana na korodani.
Uume ndio unanifanya nionekane mwanaume,niheshimike ndani ya 6 kwa 6,mke wangu anililie pale ninapochepuka. Kama sina uume si ndoa itakufa hata kama napendwa sana. Mke wangu itakuweje,si nitakuwa siwezi kumkaza?akikazwa nje nitamlaumuje wakati sababu ninazo.
Kwa kweli ukomo wangu wa kufikiria umefika ukingo. Tusaidiane wakuu. Itakuwaje kidume bila uume hata wa kuzugia tu(usio na nguvu)
Uume ni kila kitu kwa mwanaume, ee Mungu turehemu nyume zetu zisikatwe...Kwa hiyo mkuu uume ndio unakuweka mjini au mimi ndio sijaelewa