Umewahi kujiuliza hela zikibadilishwa, za zamani hupelekwa wapi?

Umewahi kujiuliza hela zikibadilishwa, za zamani hupelekwa wapi?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
FB_IMG_16788108204398124.jpg


Kwa anayefahamu atuelekeze
Hapo ukifikiria sana utagundua kwamba pesa ni makaratasi maana hizo pesa haziwezi tena kuja kutumika.
 
Value inapewa na watu wenye mamlaka na ndio Mana crypto inataka mfumo wa pesa uwe nje ya mikono na siasa yaani pesa iwe huru kabisa.

Inatakiwa ipiganishwe Vita uchumi wa nchi uwe mbali kabisa na mfumo wa siasa. Kwa USA fomc Ni independent organization inayoamua masuala ya uchumi wa USA
 
Dah sijiulizagi maswali ya kiwaki
 
Back
Top Bottom