Umewahi kujua siri ya Kuwa na Nakala mbili tofauti za Rasimu ya Katiba

Umewahi kujua siri ya Kuwa na Nakala mbili tofauti za Rasimu ya Katiba

Janja PORI

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
825
Reaction score
246
Wadau naombeni kwa waliotafiti kwanini kuna nakala mbili za rasimu ya katiba. Moja ni kopi halisi ya tume ingne haijulikani imetoka wapi je?? yaweza kuwa tume waliandaa kisha wakaitupilia mbali. Au je yaweza kuwa ni baazi ya member wa tume waliamua kuja na mawazo yao baada ya kuona ishu ya muungano iko tete.
naombeni mawazo yenu hili si swala la kukaa kimya
 
Wadau naombeni kwa waliotafiti kwanini kuna nakala mbili za rasimu ya katiba. Moja ni kopi halisi ya tume ingne haijulikani imetoka wapi je?? yaweza kuwa tume waliandaa kisha wakaitupilia mbali. Au je yaweza kuwa ni baazi ya member wa tume waliamua kuja na mawazo yao baada ya kuona ishu ya muungano iko tete.
naombeni mawazo yenu hili si swala la kukaa kimya

Asante kwa uzi huu mi nilihic ivyo na dalili ya uchakachuaji ya maccm ila wameshindwa vibaya.
 
Dizaini ule msuso wa chadema na jukwaa la katiba pengine ndio vimesaidia, tungepata nakala ya hiyo nyingine tukajua kuna nini ndio tungefarijika zaidi.
 
Hata zije rasimu 200,bila ya mamlaka kamili ya z'br patachimbika.
 
Wadau naombeni kwa waliotafiti kwanini kuna nakala mbili za rasimu ya katiba. Moja ni kopi halisi ya tume ingne haijulikani imetoka wapi je?? yaweza kuwa tume waliandaa kisha wakaitupilia mbali. Au je yaweza kuwa ni baazi ya member wa tume waliamua kuja na mawazo yao baada ya kuona ishu ya muungano iko tete.
naombeni mawazo yenu hili si swala la kukaa kimya

Heeeeee!! Kumbe kuna RASIMU MBILI ZA KATIBA? Pls, can anyone attach to me via PM the second DRAFT bse the FIRST DRAFT is in my possession?
 
rasimu nyingine hii hapo chini (download)


Dizaini ule msuso wa chadema na jukwaa la katiba pengine ndio vimesaidia, tungepata nakala ya hiyo nyingine tukajua kuna nini ndio tungefarijika zaidi.
 
Jina lenyewe linatia shaka, wajumbe wa tume na uelewa wao wanaweza kukubaliana na jina hili "fully document"!
Ukisoma jina la rasimu iliyotolewa na tume ni Rasimu - final; maana yake ziliandaliwa rasimu mbalimbali lakini mwisho wakatoa hiyo final. Ukingalia namna hiyo fully document ilivyo utakubaliana nami kuwa huwezi kuiwasilisha kwa wananchi, lazima uipange upya.
Mimi naona ni mantiki tujadili hiyo iliwasilishwa na tume ambayo inapatika kwenye website rasmi www.katiba.go.tz
 
Back
Top Bottom