Umewahi kukuta watu wanakula tunda live?

Status
Not open for further replies.
Duh pole
 
du 80? mkoa gani hiyo
 
Hapana Mkuu....Sijui Kwanin Sikupata Wazo....Lile...Na Nadhan Mungu Alikua Upande Wangu...Nilfunga kinywa....of ilkua kwake shem...lakin yale Manyanyaso Yake Yalipungua Kwangu!!!!!
hakukubembeleza usiseme?
 
ulivyocheka hawakusikia?
 
Ahaha "penda watoto" almaafu...

Kuna likizo flani hivi ilikuwa likizo fupi watu wangi walikuwa wameenda likizo vijana wa o-level walikuaa ndio wanamalizkia malizikia

Wale mado walikuwa wanapenda saana kuzurura usiku plus pombe sana. Siku moja usiku walitoka walivyo rudi mida kama saa sita hv kuna mmoja alikuwa ameopoa kasichana from zile kota huku akawa amezama nacho bweni la pamba.

Sijui ilikuaaje wana wakammind ikabidi atoke na godoro na yule dem waje huku nje kama unaenda masjid kuna class lilikuwa linaitwa agriculture extension block wakatandika godoro pale wakaendeleza yao sisi tupo ndani tumembonji ile kubundi kwamba unalala class ukiibuka unaendeleza msuli.

Baada ya kuwasikia ikabidi nipige chabo dogo katandika godoro kwenye varanda na anakula mambo.

Kesho yake kuulizia ndio nkafaham ukweli. It was early 2010's
 
Mgalatia ulitisha na hiyo guest bila shaka ni KV?
 
Hahahaha wew jamaa ni boyaa, umenifanya nicheke kinomaaa, eti kama indiketa
 
Mjomba anapiga mpeke wewe unasikiliza🤣🤣🤣
 
Jamani nimecheka 😂😂😂
 
Kwahio na nyie mkafanya ngono zembe 🤣🤣🤣
 
Hizo nimezishuhudia sana chuo na advance wakati niliposoma kibasila miezi mitatu pale halafu hostel tunaishi guest temeke daah bora nilihama ile shule maana kwa maisha niliyokwua naishi pale hostel guest ya tmk watu tulioana bila wazazi kuwa na taarifa
 
Alisepa au wewe ulisepa? Kwanini hali haikudumu 🤣🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…