Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kwa mujibu wa Kifungu cha 21 (1) cha Kanuni Za Mawasiliano ya Kielektroniki Na Posta Kuhusu Usajili wa Laini Za Simu mwaka 2025 ni kosa mtu kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa kitambulisho cha mtu mwingine au kuruhusu laini ya simu iliyosajiliwa kwa kitambulisho chake itumiwe na mtu mwingine
Ukiukwaji wa Kifungu hiki utapelekea adhabu ya kulipa faini isiyopungua Tshs. milioni 3 au kifungo cha muda usipongua miezi sita au vyote
Fahamu Madhara ya Kumsajili Mtu line:
1. Mtu anaweza kutumia laini hiyo kufanya uhalifu, kama utapeli, ulaghai, au shughuli haramu
2. Kwa kuwa laini ya simu itassajiliwa kwenye huduma za Kifedha, mtu anaweza kutumia njia hiyo kufanya miamala isiyo halali na kutakatisha fedha
3. Aliyesajili laini kwa jina lako anaweza kufanya mawasiliano yenye madhara kwa watu wengine na wao wakadhani wewe ndio umefanya hivyo
4. Ikiwa mamlaka zitabaini matumizi mabaya ya laini hiyo, zinaweza kufungia akaunti zako nyingine zote za simu na huduma za kifedha.
Ukiukwaji wa Kifungu hiki utapelekea adhabu ya kulipa faini isiyopungua Tshs. milioni 3 au kifungo cha muda usipongua miezi sita au vyote
Fahamu Madhara ya Kumsajili Mtu line:
1. Mtu anaweza kutumia laini hiyo kufanya uhalifu, kama utapeli, ulaghai, au shughuli haramu
2. Kwa kuwa laini ya simu itassajiliwa kwenye huduma za Kifedha, mtu anaweza kutumia njia hiyo kufanya miamala isiyo halali na kutakatisha fedha
3. Aliyesajili laini kwa jina lako anaweza kufanya mawasiliano yenye madhara kwa watu wengine na wao wakadhani wewe ndio umefanya hivyo
4. Ikiwa mamlaka zitabaini matumizi mabaya ya laini hiyo, zinaweza kufungia akaunti zako nyingine zote za simu na huduma za kifedha.