Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Kuna jirani yangu ni bachala,hajaoa,ni mtumishi wa umma na amepanga nyumba ambayo ni ya mh hakimu fulani hapa mtaani
Katika hali ya ujana akaingia mahusiano na binti wa Hakimu,huyu binti ni mwanafunzi anasoma shule moja ya bweni,sasa Jana kamuopoa binti kutoka Shuleni kwao muda wa usiku akidhani kuwa alfajiri atamrudisha binti shuleni
Baada ya kumleta binti usiku,kumbe binti ana mapepo(majini) yamemshika na binti kapiga makelele tangu usiku mpaka alfajiri
Alfajiri ndo akawa yamepungua baada ya kuombewa na pasta,ila binti kawa na vidondo mwili mzima,amevimba uso kutokana na kuperekeshwa na hayo madude
Wakati anapiga makelele alijitahidi kufunga mlango ili asitoke nje isije ikawa kesi nzito maana ni mwanafunzi hata hivyo ilishindikana baada ya binti kupata nguvu za ajabu na hatimaye binti akatoka nje akajigalagaza hapo chini karibia saa moja,wakaja wakamtambua ni mtoto wa mh Hakimu na baadae wakamleta pasta wakamuombea
Baadae mama yake binti akapata taarifa akaja akamchukua binti amempeleka hospital kutibiwa kutokana na madonda aliyoyapata
Kijana anasema tangu wafahamiane na huyu binti hata mwezi haujaisha na jana ndo ilikuwa mara ya kwanza kukutana hata hivyo ndo walikuwa wapo kwenye maandalizi ya kusex ndo akashtukia binti analegea na kuanguka chini maana maandalizi yao walianza wamesimama
Kijana ameshindwa afanye nini,mama yake binti wala hajagomba na mh Hakimu kasafiri
Nini atafanya ? Ni mtumishi wa umma
Katika hali ya ujana akaingia mahusiano na binti wa Hakimu,huyu binti ni mwanafunzi anasoma shule moja ya bweni,sasa Jana kamuopoa binti kutoka Shuleni kwao muda wa usiku akidhani kuwa alfajiri atamrudisha binti shuleni
Baada ya kumleta binti usiku,kumbe binti ana mapepo(majini) yamemshika na binti kapiga makelele tangu usiku mpaka alfajiri
Alfajiri ndo akawa yamepungua baada ya kuombewa na pasta,ila binti kawa na vidondo mwili mzima,amevimba uso kutokana na kuperekeshwa na hayo madude
Wakati anapiga makelele alijitahidi kufunga mlango ili asitoke nje isije ikawa kesi nzito maana ni mwanafunzi hata hivyo ilishindikana baada ya binti kupata nguvu za ajabu na hatimaye binti akatoka nje akajigalagaza hapo chini karibia saa moja,wakaja wakamtambua ni mtoto wa mh Hakimu na baadae wakamleta pasta wakamuombea
Baadae mama yake binti akapata taarifa akaja akamchukua binti amempeleka hospital kutibiwa kutokana na madonda aliyoyapata
Kijana anasema tangu wafahamiane na huyu binti hata mwezi haujaisha na jana ndo ilikuwa mara ya kwanza kukutana hata hivyo ndo walikuwa wapo kwenye maandalizi ya kusex ndo akashtukia binti analegea na kuanguka chini maana maandalizi yao walianza wamesimama
Kijana ameshindwa afanye nini,mama yake binti wala hajagomba na mh Hakimu kasafiri
Nini atafanya ? Ni mtumishi wa umma