Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Wakuu kwema?
Kuna sehemu mbalimbali raia huenda kwa ajili ya kupata huduma, changamoto hutokea pale ambapo mtoa huduma anakataa kukupatia huduma fulani au anakuzungusha kukupa huduma hiyo mpaka utoe cha juu/kipoozeo/kifuta jasho/rushwa.
Ukitoa rushwa mambo yanakwenda haraka, hata zile mashine ulizokuwa unaambiwa hazifanyi kazi au mtandao uko chini kila wakati unapotaka huduma zinapata muujiza na kufanya kazi kama mpya!
Imewahi kutokea ukalazimika kutoa rushwa ili upatiwe huduma uliyokuwa unahitaji?
Kuna sehemu mbalimbali raia huenda kwa ajili ya kupata huduma, changamoto hutokea pale ambapo mtoa huduma anakataa kukupatia huduma fulani au anakuzungusha kukupa huduma hiyo mpaka utoe cha juu/kipoozeo/kifuta jasho/rushwa.
Ukitoa rushwa mambo yanakwenda haraka, hata zile mashine ulizokuwa unaambiwa hazifanyi kazi au mtandao uko chini kila wakati unapotaka huduma zinapata muujiza na kufanya kazi kama mpya!
Imewahi kutokea ukalazimika kutoa rushwa ili upatiwe huduma uliyokuwa unahitaji?