Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?

Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Salaam wakuu, tayari ni weekend

Mimi mara kadhaa nimekutana na upotoshaji kutoka vyanzo vya taarifa ambavyo nimekuwa nakiviamini sana, jambo ambalo linanithibitishia kuwa upotoshaji unaweza kufanywa na yeyote kwa kujua au kutokujua.

Je wewe Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?​
 
Nilipotoshwa na MSM kwamba israhell taifa teule anga lake halipenyeki hata na mtele kumbe wapi nikapigwa kamba kama dunia bila Western hakuna kitu yaani nili danganywa mimi wakati nikiwa mjinga ila ahsante sana hizbullah hamas na Russia
 
Salaam wakuu, tayari ni weekend

Mimi mara kadhaa nimekutana na upotoshaji kutoka vyanzo vya taarifa ambavyo nimekuwa nakiviamini sana, jambo ambalo linanithibitishia kuwa upotoshaji unaweza kufanywa na yeyote kwa kujua au kutokujua.

Je wewe Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?​
Niliambiwa yuko ofisini anachapa Kazi ni mzima buheri wao afya.
 
Hali imeendelea kuwa mbaya sitakuja kuwaamini tena wanawake!
 
Salaam wakuu, tayari ni weekend

Mimi mara kadhaa nimekutana na upotoshaji kutoka vyanzo vya taarifa ambavyo nimekuwa nakiviamini sana, jambo ambalo linanithibitishia kuwa upotoshaji unaweza kufanywa na yeyote kwa kujua au kutokujua.

Je wewe Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?​
Mfano mzuri walikuwa mashaboki wa kisiasa wa Biden na Kamala Haris baada ya kuangukia pua kila mmoja kwa wakati wake,karma ya witch hunt ilirudi nyumbani kwao.Baada ya songombingo la kutosha wakajua vyombo vyao ,vyombo majirani wao vilisema uongo kwa chuki zao kwa Mzee Trumpet.
 
Salaam wakuu, tayari ni weekend

Mimi mara kadhaa nimekutana na upotoshaji kutoka vyanzo vya taarifa ambavyo nimekuwa nakiviamini sana, jambo ambalo linanithibitishia kuwa upotoshaji unaweza kufanywa na yeyote kwa kujua au kutokujua.

Je wewe Umewahi kupotoshwa na chanzo cha taarifa ulichokuwa unakiamini? hali ilikuwaje na ilikuathiri kwa kiwango gani?​
Yes, Wasafi Media, EFM, Clouds, na kuna baadhi ya watangazaji Youtube ni very useless, ukiwasikiliza na kuwaamini haki ya Mungu utakuja kujiua maana hawajuwi wanaongelea nini.
 
JF wenyewe waliingia kwenye mkenge wa kusema mandonga amepigwa kwenye pambano lake la Kenya 😂
 
Yes, Wasafi Media, EFM, Clouds, na kuna baadhi ya watangazaji Youtube ni very useless, ukiwasikiliza na kuwaamini haki ya Mungu utakuja kujiua maana hawajuwi wanaongelea nini.
Kule youtube ni pa kuwa makini, unaweza ukapotoshwa hivihivi unajiona
 
Kule youtube ni pa kuwa makini, unaweza ukapotoshwa hivihivi unajiona
Kuna jamaa nafikiri anaitwa Sky wa Simulizi na Sauti, jamaa ana fix za kijinga sana sijuwi kwanini hafanyi reseach ya kutosha kujiridhisha kabla ya kwenda YouTube kuelimisha watu. Nimeachana kumsikiliza kwa sababu hafai hata kidogo, ni mpotoshaji mno.
 
Back
Top Bottom