Umewahi kusikia hii kuhusu tiba ya UKIMWI?

Umewahi kusikia hii kuhusu tiba ya UKIMWI?

Cesar Saint

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2016
Posts
423
Reaction score
726
Habari zenu wakubwa!

Ni muda sasa umepita tokea kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Ukimwi iliporipotiwa mwaka 1981, ambapo katika THE GLOBAL HIV/AIDS PANDEMIC,2006 REPORT takribani watu 65 million walikuwa wameathirika na UKIMWI na 25 million walikuwa wamekufa kwa UKIMWI kwa mwaka 2005 PEKEE.

Kwa tathimini hii fupi utaona ni kama TANZANIA nzima iwe imeathirika na ugonjwa huu M/Mungu atunusuru .


Niachane na tathimini hizi na niingie katika mada husika niliyowaletea ndugu zangu na kama ni muumini na mfuatiliaji wa tafiti mbalimbali hasa tafiti zinazohusu afya neno “PATENT” haliwezi kuwa geni kwako.

Kwa tafsiri isiyo rasmi ya neno hili ni;
Patent is a government authority or licence conferring a right or title for a set period, especially the sole right to exclude others from making, using, or selling an invention.

Hivyo Basi mnamo mwaka 1996 May 31 Inventor mmoja anayeitwa Marvin S. Antelman kutoka Rehovot, Israel aliyetokea kampuni ya Antelman Technologies Ltd., 40-51. Providence, R.I. alifanya maombi ya kuchapisha ugunduzi wake maombi namba 658,955 ya jinsi ya kutibu ukimwi nchini Marekani na kupewa patent number 5676977 mwaka 1997 October 14 .

Katika ugunduzi wake huu alielezea jinsi TETRASILVERTETROXDE MOLECULAR CRYSTAL DEVICE inaweza kutumika kutibu upungufu wa kinga mwilini kwa kutumia shot moja IV kupata matokeo chanya ya vijidudu viletavyo AIDS na Immunity suppressing moiety(ISM).

Tiba hii inafanyaje kazi:

Molecular crystal ya kifaa hiki ina sehemu moja yenye mono na sehemu nyingine yenye trivalent Silver ions zenye uwezo wa kushambulia(firing) electrons zenye uwezo wa kufanya electrocution kwa kirusi ya AIDS na vijidudu vingine nyemelezi pamoja na ISM.

IMG_5379.JPG


Mtu anapochomwa shot ya mchanganyiko huu kwenye damu yake electrons za kifaa hiki kinakuwa activated na vijidudu vya ukimwi na hapo hupelekea kutokea kwa REDOX CHELATION MECHANISM ambayo hupelekea kuundwa kwa divalent silver moieties ambazo huungana katika seli za vijidudu vya ukimwi na kuviua.

Kifaa hiki hakina madhara sumu au hatarishi kwa mtumiaji ijapokuwa kinaweza kupelekea kupata hepatomegaly lakini hii hatoathiri utendaji kazi wa Ini.

Naomba kuwasilisha.

Cc
Nimeshindwa jinsi ya kuweka pandiko husika lakini unaweza kulipata kupitia

https://patentimages.storage.googleapis.com/68/18/0e/6630bfa5fcf022/US5676977.pdf
 
Nyota nyota tU,najilazumisha kuelewa najikuta ubongo unanichelea na unaniambia sikupita shule
Mkuu!
Yaani hapo ni maelezo kuhusu utafiti wa ugunduzi wa tiba ya UKIMWI ambayo ilichapishwa 1997 huko Marekani na kampuni husika ameitaja mtoa post.

Dawa hiyo ya UKIMWI jinsi inavyofanya kazi ni kama sumaku... Yaani ukimchoma ndani ya damu mtu aliyekuwa na virusi vya UKIMWI ... Hiyo dawa itaanza kuunganika na virusi vya UKIMWI kama sumaku inavyovuta chuma na kuungana.

Hii itasaidia kupunguza uwezo wa virusi vya UKIMWI kushambulia seli za kinga ya mwili na kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI.

Pia katika chapisho la ugunduzi huo inaonesha kuwa madhara pekee ya matumizi ya hiyo dawa ni ukuaji usio wa kawaida wa Ini(hepatomegaly) ila kwa ufanisi hiyo dawa ipo vizuri kwa kutibu ugonjwa wa UKIMWI.

Kama kuna mtu anaweza kusaidia kuongeza ufafanuzi zaidi itakuwa vizuri.
 
Mkuu!
Yaani hapo ni maelezo kuhusu utafiti wa ugunduzi wa tiba ya UKIMWI ambayo ilichapishwa 1997 huko Marekani na kampuni husika ameitaja mtoa post.

Dawa hiyo ya UKIMWI jinsi inavyofanya kazi ni kama sumaku... Yaani ukimchoma ndani ya damu mtu aliyekuwa na virusi vya UKIMWI ... Hiyo dawa itaanza kuunganika na virusi vya UKIMWI kama sumaku inavyovuta chuma na kuungana.

Hii itasaidia kupunguza uwezo wa virusi vya UKIMWI kushambulia seli za kinga ya mwili na kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI.

Pia katika chapisho la ugunduzi huo inaonesha kuwa madhara pekee ya matumizi ya hiyo dawa ni ukuaji usio wa kawaida wa Ini(hepatomegaly) ila kwa ufanisi hiyo dawa ipo vizuri kwa kutibu ugonjwa wa UKIMWI.

Kama kuna mtu anaweza kusaidia kuongeza ufafanuzi zaidi itakuwa vizuri.
Wewe ungekuwa ndo mwalimu wangu wa sekondari na chuo...wallah ningekuwa nimeshaumba BINADAMU wangu....
 
Mkuu!
Yaani hapo ni maelezo kuhusu utafiti wa ugunduzi wa tiba ya UKIMWI ambayo ilichapishwa 1997 huko Marekani na kampuni husika ameitaja mtoa post.

Dawa hiyo ya UKIMWI jinsi inavyofanya kazi ni kama sumaku... Yaani ukimchoma ndani ya damu mtu aliyekuwa na virusi vya UKIMWI ... Hiyo dawa itaanza kuunganika na virusi vya UKIMWI kama sumaku inavyovuta chuma na kuungana.

Hii itasaidia kupunguza uwezo wa virusi vya UKIMWI kushambulia seli za kinga ya mwili na kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI.

Pia katika chapisho la ugunduzi huo inaonesha kuwa madhara pekee ya matumizi ya hiyo dawa ni ukuaji usio wa kawaida wa Ini(hepatomegaly) ila kwa ufanisi hiyo dawa ipo vizuri kwa kutibu ugonjwa wa UKIMWI.

Kama kuna mtu anaweza kusaidia kuongeza ufafanuzi zaidi itakuwa vizuri.
Nimekuelewa vizuri sana maana mwanzoni nilitoka patupu.
 
Back
Top Bottom