Umewahi kusikia sauti za watu wakifanya mapenzi live?

Umewahi kusikia sauti za watu wakifanya mapenzi live?

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kidogo macho unaweza kusema uyafumbe, na masikio je?

Mimi hii kitu imenitokea mara nyingi tu katika mazingira ya maisha niliyoishi ila kuna siku naikumbuka nikiwa nafanya kazi kwenye boti jamaa ambae ni mkubwa kwangu alileta demu, Mimi ikabidi nijifanye nimelala usingizi ili nisiwaharibie watu ratiba zao.
 
[emoji4] wazee wa BOCHA mnaitwa
IMG_20210524_132010.jpg
 
Back in the days nikiwa chuo kuna KE wawili walikua wanakaa pamoja ni majirani zangu pia classmates. Walikuwa wastaarabu sana hawakuwa na vijitabia vile vya mademu wengi wa chuo. Nilikua namtaka mmoja wao lakini sikufanikiwa.

Kuna siku nipo nacheki movie mishale ya saa 7 kasoro hivi night nikaanza sikia milio ya kimahaba, siku hiyo niliteseka mno yule Ke alikua analia vizuri na kwa sauti kwa aliekua hajalala ni vigumu sana kutoskia. Kuteseka kuliendelea mpaka mechi ikaisha. Asubuhi namuona demu mwekundu plus malove bite shingoni.
Yale mambo hayana ustaarabu kabisa.
 
Kidogo macho unaweza kusema uyafumbe, na masikio je?

Mimi hii kitu imenitokea mara nyingi tu katika mazingira ya maisha niliyoishi ila kuna siku naikumbuka nikiwa nafanya kazi kwenye boti jamaa ambae ni mkubwa kwangu alileta demu, Mimi ikabidi nijifanye nimelala usingizi ili nisiwaharibie watu ratiba zao.
Kidogo macho unaweza kusema uyafumbe, na masikio je?

Mimi hii kitu imenitokea mara nyingi tu katika mazingira ya maisha niliyoishi ila kuna siku naikumbuka nikiwa nafanya kazi kwenye boti jamaa ambae ni mkubwa kwangu alileta demu, Mimi ikabidi nijifanye nimelala usingizi ili nisiwaharibie watu ratiba zao.
Then what happened? Ni Kama stori yako hujamalizia!! Au usngz umekukamata mkuu
 
Back in the days nikiwa chuo kuna KE wawili walikua wanakaa pamoja ni majirani zangu pia classmates. Walikuwa wastaarabu sana hawakuwa na vijitabia vile vya mademu wengi wa chuo. Nilikua namtaka mmoja wao lakini sikufanikiwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Kuna mjinga mmoja siku ya sikukuu alinipiga Exhale pale hostel, nikahamia SANAA mpk saa 11 asbh, nilipofika room anacheka tuu nikamwambia leo piga ua galagaza lunch kwako shenzi weee. Akakubali adhabu maisha yakaendelea.
 
Hahaha hii pia ilishawahi nitokea wakati nipo chuo ...mimi niliishi maisha ya uraiani...ile nyumba niliyopanga haikuwa na cellngboard yaani hiyo nyumba wakidinyana lazima usikie, bahati mbaya niliyekuwa single ni mimi tu.

Ila kuna day nikaona na mimi niwakomoe usiku nikaweka cd ya x nikawasha kwa sauti then mimi huyo nikalala.kilichofuata asubuhi ni siri yangu😂😂😂😂😂😂
 
Kidogo macho unaweza kusema uyafumbe, na masikio je?

Mimi hii kitu imenitokea mara nyingi tu katika mazingira ya maisha niliyoishi ila kuna siku naikumbuka nikiwa nafanya kazi kwenye boti jamaa ambae ni mkubwa kwangu alileta demu, Mimi ikabidi nijifanye nimelala usingizi ili nisiwaharibie watu ratiba zao.

Ninakumbuka mwaka 97, nyumba ya Jirani tulisikia mdada analia sana. Kwa umri wangu sikuwahi kujua alikua analilia nini. Many years later ndio nikaja kujua kua jamaa alikua anagegeda.
 
Kuna mjinga mmoja siku ya sikukuu alinipiga Exhale pale hostel, nikahamia SANAA mpk saa 11 asbh, nilipofika room anacheka tuu nikamwambia leo piga ua galagaza lunch kwako shenzi weee. Akakubali adhabu maisha yakaendelea.
Ukanunuliwa chakula na mwanaume mwenzako!!! Haaaa!!
 
Back
Top Bottom