Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Ninafikiria kununu kitabu hiki ila bei yake ni kubwa sana kuliko vitabu vya aina hiyo ambavyo huwa ninanunua. Bei yake inafikia karibu $200 wakati nimeshanunua na kusoma vitabu kama vya Mandela, Reagan, Churchill, Thatcher. Kenyatta, MLK, JFK, na vingine vingi vinavyohusu viongozi mbalimbali kwa bei isyozidi $20. Kama umeshakisoma, naomba unipe perspective yako kabla sijamwaga hela nyingi hivyo.