Umewahi kutumia choo cha kulenga?

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Tembea uone,ilikuwa maeneo ya Nangurukuru mwaka 2008 nilibanwa nikaomba msaada wa haja.

Kipindi hiko hakukuwa na utaratibu mzuri wa sasa gari zote zinapaki hotelini.

Jamani wadau haya mambo usikie tu
1.choo kimejaa
2.magogo dhaifu..
Nitarudi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni zoezi la chubwii na kusepa fasta! Ukichelewa umeyaoga kama ulivyoshusha. Kama ulipitia jeshi ni kama vile zoezi la kukwepa ndege. Ila kama mzigo ni wa u'harisho mambo yanakuwa pouwaaaaa!
 
Ni bora ukimbie porini ili ukimaliza utafte majani halafu ufanye kitu inaitwa "KUSHENENA" ukimaliza nawa maji yako ya kilimanjaro kumalizia kama kuna mabaki ya kinyesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora ukimbie porini ili ukimaliza utafte majani halafu ufanye kitu inaitwa "KUSHENENA" ukimaliza nawa maji yako ya kilimanjaro kumalizia kama kuna mabaki ya kinyesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee kuna kipindi vyoo vya Kariakoo viiiingi vilikuwa katika hiyo hali. Sasa ukiwa mjini Kariakoo na umebanwaaaa na unatembea kwa kunyatanyata. Unapiga hatua moja mbili halafu unasimama kuzuia mzigo usiteme, unapiga hatua tano fastaaa, unakutana na mama wa kimanyema. Anaosha vyombo na hana haraka kukutizama usoni.
Kwa adabu unapiga hatua moja na kusita, mama anakuuliza vipiii, unatizama kwenye mlango wenye gunia kuomba kama atakustiri aibu. Mama anakuruhusu lakini hatua zako ni zile zile za kuzuia mzigo usimwagike. Sasa ukishaingia ndani na ukute maji hamna inakuwa taaaabu nyingine. Ni balaaa hasa ukifiria mzigo unadundadunda na bado kiduuuuchu mambo yaharibike. Aaaah we acha tu usiwaone watu wanaulamba wametoka mbaaaaali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…