bafetimbi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 1,085
- 1,741
Huwa napenda sana baada ya kugonga msosi wa nguvu mchana mida ya saa saba, naingia chemba naulipua mjani wangu msumari mmoja tu mnene.
Nikishaumaliza muda huo huo napiga mswaki kisha naelekea kwa mshkaji wangu mmoja hivi kwake pana kamwendo hivi. Sasa na lile jua la mchana mixa na mjani dry umeshaenea kichwani nikitembea naona kama wale ma monki wa kichina wenye imani kali ambao wakitembea huwa hawakanyagi chini, wanapiga hatua lakini hewani hewani hiyo.
Sasa mimi nikishakula mjani kisha nikatembea kwenye jua kali kuelekea kwa jamaa yangu kule ndiyo nautembea mwendo ule sasa kama wanaotembea wale ma Monki wa kichina, huwa napenda sana nikitembea ule mwendo wa ki Monki maana fasta nakua nishafika kwa jamaa hadi anashangaa, wakati ni parefu balaa, maana nauli kwa boda boda hadi kwake ni sh 5,000/=, lakini mimi nafika pale ki Monki tena bila vumbi wakati raod ya kwenda kwa jamaa ina vumbi si la kitoto.
Hivi unapata picha ya ninachosema kweli? Umewahi kuona zile muvi za kichina wa vijijini kuna wale wazee wananyoa vipara wale, hawana hata mademu wale. Wenyewe ni kutulia tu halafu wanatembea hewani kwa spidi ya mwewe, wale ndiyo ma Monki sasa. Wala hawatongozi mtu jamaa wawatu hawataki madem kabisa, wenyewe ni kuvaa mashuka na kutembea hewani.
Mwendo wa ki Monki una raha yake sana.
Hivi kibongo bongo unaweza ukawa Monki kweli?
Au ni mpaka uende kule kule?
Nikishaumaliza muda huo huo napiga mswaki kisha naelekea kwa mshkaji wangu mmoja hivi kwake pana kamwendo hivi. Sasa na lile jua la mchana mixa na mjani dry umeshaenea kichwani nikitembea naona kama wale ma monki wa kichina wenye imani kali ambao wakitembea huwa hawakanyagi chini, wanapiga hatua lakini hewani hewani hiyo.
Sasa mimi nikishakula mjani kisha nikatembea kwenye jua kali kuelekea kwa jamaa yangu kule ndiyo nautembea mwendo ule sasa kama wanaotembea wale ma Monki wa kichina, huwa napenda sana nikitembea ule mwendo wa ki Monki maana fasta nakua nishafika kwa jamaa hadi anashangaa, wakati ni parefu balaa, maana nauli kwa boda boda hadi kwake ni sh 5,000/=, lakini mimi nafika pale ki Monki tena bila vumbi wakati raod ya kwenda kwa jamaa ina vumbi si la kitoto.
Hivi unapata picha ya ninachosema kweli? Umewahi kuona zile muvi za kichina wa vijijini kuna wale wazee wananyoa vipara wale, hawana hata mademu wale. Wenyewe ni kutulia tu halafu wanatembea hewani kwa spidi ya mwewe, wale ndiyo ma Monki sasa. Wala hawatongozi mtu jamaa wawatu hawataki madem kabisa, wenyewe ni kuvaa mashuka na kutembea hewani.
Mwendo wa ki Monki una raha yake sana.
Hivi kibongo bongo unaweza ukawa Monki kweli?
Au ni mpaka uende kule kule?