Umewahi kuwa na matarajio makubwa kisha ukaumizwa?

Umewahi kuwa na matarajio makubwa kisha ukaumizwa?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210424_134431_934.jpg


Matarajio yaliyokithiri juu ya jambo au mtu fulani huweza kupelekea msongo wa mawazo kwakuwa yasipotimia unaweza kuumia sana

Hivyo usitegemee kupewa furaha na wengine, tafuta njia zako binafsi za kujifurahisha
 
Muda unaoweka matarajio juu ya mtu naweza kusema unaweza ona ni yeye tu ila akija kukuumiza kwa kutarajia juu yake ndo unashtuka and is too late.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom