Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Inahuzunisha sana ๐ฃApumzike kwa amani Joe a.k.a vasco dagama a.k.a chipoli huyu ndie rafiki yangu wa kweli maishani mwangu wakati nipo kwenye harakati za kuisaka shiling nilibuni mradi fulani ila ikawa mtaji hautoshi nilijaribu kusimama kwa ndugu na jamaa ila wakanitosa tu ila nilipomsimulia mwamba akaniambia tulia mzee akauza kipande chake cha ardhi ili anibusti mtaji mwenyewe alikuwa na kauli yake utasikia mzee ukitoboa na mimi nimetoboa... ila duh alipata ajali ya gari ukawa mwisho wake pumzika kwa amani mwamba mtoto wako Jennifer nipo nae kwangu
Yupo anaitwa MwapongoHabari zenu waungwana,
Katika ulimwengu wa sasa ni nadra sana kupata rafiki wa kweli ambaye unaweza kumuamini,
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma niliwahi kuwa na rafiki, huyu alikuwa ni zaidi ya ndugu, tulielewana sana.
Tulishirikiana kwa kila jambo, Popote alipo nami nilikuwepo, jamaa alikuwa mpambanaji sana,
hakuchagua kazi ya kufanya ili mradi apate pesa,
Katika harakati za upambanaji, mimi nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni moja ya utalii iliyopo mjini Arusha, yeye alienda mererani kwenye machimbo ya Tanzanite. Tuliendelea kuwasiliana huku tukiwa na mipango mingi,
Kuna siku mvua ilinyesha kubwa mno, maji yakajaa kwenye mashimo huko Mererani, watu wengi walipoteza maisha akiwepo rafiki yangu, ilikuwa siku ya huzuni sana kwangu, nikiri sijawahi kuwa na rafiki wa kweli kama huyu.๐ข๐ข
Mwenyezi Mungu ailaze pema roho ya marehemu Amen๐๐,
Kazi ya MUNGU haina makosa. R.I.P Rafiki wa kweli.
Je wewe umewahi kubahatika kuwa na rafiki wa kweli?
Yupo anaitwa MwapongoHabari zenu waungwana,
Katika ulimwengu wa sasa ni nadra sana kupata rafiki wa kweli ambaye unaweza kumuamini,
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma niliwahi kuwa na rafiki, huyu alikuwa ni zaidi ya ndugu, tulielewana sana.
Tulishirikiana kwa kila jambo, Popote alipo nami nilikuwepo, jamaa alikuwa mpambanaji sana,
hakuchagua kazi ya kufanya ili mradi apate pesa,
Katika harakati za upambanaji, mimi nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni moja ya utalii iliyopo mjini Arusha, yeye alienda mererani kwenye machimbo ya Tanzanite. Tuliendelea kuwasiliana huku tukiwa na mipango mingi,
Kuna siku mvua ilinyesha kubwa mno, maji yakajaa kwenye mashimo huko Mererani, watu wengi walipoteza maisha akiwepo rafiki yangu, ilikuwa siku ya huzuni sana kwangu, nikiri sijawahi kuwa na rafiki wa kweli kama huyu.๐ข๐ข
Mwenyezi Mungu ailaze pema roho ya marehemu Amen๐๐,
Kazi ya MUNGU haina makosa. R.I.P Rafiki wa kweli.
Je wewe umewahi kubahatika kuwa na rafiki wa kweli?
Alipitiwa na usingizi ndio akakosa kufanya mtihani? Usingizi wa kawaida au ndio Shangazi wa kulaumiwa?Dah Rafiki wa kweli nilimpata tukiwa advance aisee
Nilienda ile shule lkn nikakuta Advance walomaliza f4 ple wanapendana sana ila ss wapya kma wanatudharau hivi
Basi nikampata Rafiki wa kweli ambae nae pia aikua mgeni tukawa tunasoma pamoja haswa somo la chemistry tunatoleana maswali ple kwa kutumia Ngaiza katika Physical chemistry bhna weee Rafiki akaja kukutwa na shida ya Ada sasa mzazi wake hajui jinsi ya kulipa akamtumia hela shangazi yake ambae yupo Moshi akamlipie ada mwanawe dah hpa ndo mkasa wa kumpoteza Rafiki wa ukweli ulipoanza
Siku ya siku yule shangazi ya Rafiki kaja shule ila second master akamwambia ss hatupokei cash bali nenda bank ukalipie na mm siku hii niliomba ruhusa niende mjini kweli bhna shangazi mtu kaenda bank ila muda ulikua ushaenda hakuweza kulipa basi shangazi akasema atalipia kesho na risiti ataleta shule.
Heee kimbembe kilianza apo shangazi hakulipa ile ada na yule Rafiki akafukuzwa shule akaenda shule moja ipo town ivi ili amalize F6 akakubaliwa ila kinachonisikitisha kua rafiki angu huyu hakuweza kufanya mtihani wa Physics wa theory wa Necta hatimae kupelekea kupata div3 ambayo haikumuwezesha kuendelea na degree dah siku alivonambia ivo nililia kwakweli mana kila nikifikiria tulipotoka ila shangazi yake ndo akaja kua chanzo na Rafiki kutofanya vizuri kwenye masomo yake
Kwa upande wa shule yetu Rafiki angu asingeweza kupitwa na mtihani kisa usingizi yni mpaka leo tukiongea anamlaumu sana shangazi yake ila baba ake amemwachia Mungu mana katapeliwa na dada ake kabisaa